Vipi Lema bado yuko ukimbizini?
Hapo sawa.Lissu alipataka kusema "Wakitumaliza sisi" (wapinzani) wataanza na nyie (CCM) naona utabiri umeanza kutimia mapema sana.
Sasa ni wakati wao kukinywea kikombe, na hakiwaepuki watulie dawa iwaingie
View attachment 1680022View attachment 1680023
Kiti cha kupewa hicho bila jashoGambo,dhambi ya dhuluma uliyofanya wewe na wenzio ni laana duniani na mbinguni. Itawatafuna nyie na vizazi chenu milele
Ujue viongozi wa kuteuliwa wana nguvu kuliko wa kuchaguliwa. Mteule wa raisi hagusikiDc alipaswa kusweka ndani saa24 tu ajue kunafananaje
nimecheka kwa nguvu.Yes, yuko mahali pa ukweli yeye na familia yake, na watoto wake wanasoma shule za ukweli, sio hizi za kwenda na ufagio na dumu la maji. Na kisha watoto wake wakirudi hapa wanakuwa maboss huko ofisini kwa watoto wa Makada wa ccm.
Mbona ma DED wanawekwa ndani ilhali ni mteule wa raisiUjue viongozi wa kuteuliwa wana nguvu kuliko wa kuchaguliwa. Mteule wa raisi hagusiki
Ukiachilia mbali Korogwe alikutukana mwanasheria wa halmashauri, pale Arusha alimweka ndani Lema kwa muda mrefu sana. Ningekua mie ndio DC wa Arusha, namweka ndani saa 24 kabisa.Alichopanda ndicho anachovuna leo. Huyu si ndie alikuwa anaweka ndani watumishi ovyo alipokuwa DC Korogwe?
Ujue viongozi wa kuteuliwa wana nguvu kuliko wa kuchaguliwa. Mteule wa raisi hagusiki