Mkuu naona umeamua kutokuwa mnafiki na kuwa real! Big up. Binafsi nimeona hivyo baada ya kukumbuka alivyokamatwa kama kibaka na walinzi wa African Tulip hapa Arusha akiwa ameiba taulo za hotel hiyo na kuzisunda kwenye begi lake huku wakilalamika kuwa ni tabia yake na walimwekea mtego akanasa. Mtu wa hivyo huwa simtakii mema!
Today 02:42....!
Pole Mwanjelwa ...