Mbunge Martha Mlata azuiwa JKNIA kusafiri, hakuwa na kibali cha Ikulu

Kilichosababisha martha kuzuiwa ni kwamba alikuwa anatumia diplomatic passport kwa safari yake binafsi,hiyo paspot inalipiwa na serikali.sasa kama anataka kutumia hiyo paspot ni lazima apate kibali cha katibu wa bunge kutoka kwa katibu mkuu maana fedha inatoka hazina kulipia safari,lakini angetumia paspot binafsi asingezuiwa
Naye haya hakuyajua kabla??
 
Marufuku ya Magufuli kutosafiri nje ya nchi imeanza kufanya kazi kwa wabunge baada ya mbunge wa Singida viti maalumu, Martha Mlata jana kuzuiwa uwanja wa ndege wa JKNIA hadi apate kibali maalum kutoka Ikulu.
Alitaka kusafiri kikazi?Kwa maslahi ya taifa sawa..lakini kama kazi binafsi...wenda kuna 1,2,3...
 
Jamani mnaosema kuwa mbunge si mtumishi wa umma hebu tufafanulieni basi kwamba wabunge huwa wanawatumikia watu gani na wanalipwa kwa fedha za nani??
 
mbona vyama vya siasa vinapewa ruzuku na serikali ambayo ni kodi zetu na wao ni watumishi wa serikali

Kunatofauti kati ya luzuku na mshahara critically ni lazma tujue kuwa serkal inaundwa na mihimili mitatu bunge ni moja ya mihimili hyo unaposema mbunge sio mtumishi wa serkal ni sawa na kusema mama sio mwanafamilia ndan ya kaya
 
Mmmh kwani kuna tatizo gani kufika ikulu na kuomba kibali? Ninachojua ni kwamba kwa mtumishi yeyote ambaye analipwa na serikali maana yake ni mtumishi wa umma! Anaposafiri maana huduma anayostahili kutoa inasimama ila kama safari ya kwenda nje ya nchi ina tija zaidi kwa umma kwa nini mtu huyu asichukue kibali kutoka ikulu? Lakini pia kibali kinatolewa kulingana na maelezo yako juu ya safari yako, nani atahudumu nafasi yako wakati ukiwa safarini na kwa muda gani!
Rai yangu ni kwamba watumishi wote wanaolipwa na serikali wanatakiwa wakubali mabadiliko haya na wajue huu ni utawala mwingine, kila mmoja ajitahidi kufuata utaratibu kulingana na taratibu za serikali hii!
 
Tusipoangalia na kuwa makini ipo siku tutaomba ruksa na kukutana na wake zetu.
 
kuna mihimili mitatu
1. bunge
2. mahakama
3. serikali

Pesa za kuendesha ShUGHULI zao zinatoka HAZINA .

Kuna wizara mahsusi zinazosimamia Mihimili hiyo. Unapojitahidi kutenganisha pia jitahidi kuhusianisha utafikia tamati nzuri
Mihimili mitatu ya nini?
 
kuna mihimili mitatu
1. bunge
2. mahakama
3. serikali

Pesa za kuendesha ShUGHULI zao zinatoka HAZINA .

Kuna wizara mahsusi zinazosimamia Mihimili hiyo. Unapojitahidi kutenganisha pia jitahidi kuhusianisha utafikia tamati nzuri

Nimecheka sana hiyo Avatar huyo jamaa nae ni Jipu ameshatumbuliwa?
 
Huu ni uonevu, umbumbumbu wa sheiria na ujuha tuu!, mbunge sio mtumishi wa serikali, ni mtumishi wa watu!.

Pasco
Pasco wewe ndiye mbumbumbu au makusudi yako kwani wajua stahili zote za Mbunge hulipwa na Serikali.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
M

mtu yeyote anayelipwa Posho na mshahara na Serikali ni mtumishi wa umma tu awe upinzani au ccm, pesa zote za kuwahudumia Wabunge hutoka Hazina hivyo hawakwepi kuitwa Watumishi wa umma licha ya kuwa ni chaguo la wananchi ktk majimbo yao.
Umma ni nini?je shekhe,padri au mchungaji sio watumishi wa umma?
 
Sehemu kuu tatu! Nazo ni smz,jmtz na tamisemi! Alaah! All in all mbunge ni mtumishi wa umma sio wa serikali! Pia hiz marufiku za maguful ni za kisenge sana, mimi hapa ni diwan lkn siku si nyingi naenda zangu Rawalpind pakistan sina kikao chochote kwa miez hii miwil kwan baraza ni mwez mach na wdc ratiba ipo vizur halaf nisikie boya ananizuia pale jkn! Namngata kimeza ugal! Hakuna namna
We ndo hujui somo la uraia. Serikali imegawanyika katika sehemu ngapi?
 
Serikali itoe muongozo clear kuhusu hili la safari za nje, binafsi ninamuunga mkono raisi juu ya jambo hili, ila nina wasiwasi baadhi ya watu wanataka kumkwamisha Raisi kwakufanya mambo " Kisiasa kali", kwa kutafsiri vibaya agizo lake
 
Ila tuache utani Nchi hii kuna watu walijifanya miungu....dharau kila sehemu ukisema yy ni MTU mkubwa kwenye hili lakuzuia Safari linaleta heshima sana mtaani
 
Back
Top Bottom