Mbunge Martha Mlata azuiwa JKNIA kusafiri, hakuwa na kibali cha Ikulu

Marufuku ya Magufuli kutosafiri nje ya nchi imeanza kufanya kazi kwa wabunge baada ya mbunge wa Singida viti maalumu Martha Mlata jana kuzuiwa uwanja wa ndege wa JKNIA hadi apate kibali maalum kutoka ikulu.
Huu ni uonevu, umbumbumbu wa sheiria na ujuha tuu!, mbunge sio mtumishi wa serikali, ni mtumishi wa watu!.

Pasco
 
Back
Top Bottom