Mbunge Maige wa Msalala.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
Mbunge Maige.

Wakati akiwa Kahama sekondari kama mwanafunzi, alikuwa anaishi kwa Dada yake Felista. Dada yake Maige alikuwa amepanga nyumba moja na mama yangu mzazi kwa mzee William mtaa wa kilima-Nyihogo wilayani Kahama.

Hahahaa Maige tulikuwa tunakaa naye kibarazani tunaapiga stori kipindi hata darasa la kwanza sijaanza. Haaha Mambo mengine bwana ni Mungu tu. Uncle Maige.

Deogratius N Kisandu
 
Mbunge Maige.

Wakati akiwa Kahama sekondari kama mwanafunzi, alikuwa anaishi kwa Dada yake Felista. Dada yake Maige alikuwa amepanga nyumba moja na mama yangu mzazi kwa mzee William mtaa wa kilima-Nyihogo wilayani Kahama.

Hahahaa Maige tulikuwa tunakaa naye kibarazani tunaapiga stori kipindi hata darasa la kwanza sijaanza. Haaha Mambo mengine bwana ni Mungu tu. Uncle Maige.

Deogratius N Kisandu
Sijaelewa ni nini hiki? Hadithi, ndoto au mawazo
 
Aliitumia fursa vizuri, pesa zetu za twiga, na ana malori kadhaa ya Dar -Congo
Kwa sasa Maige ndie Mmiliki wa SSTL group, ni Miongoni mwa Watu waliofanikiwa sana hapa Nchini, Kampuni yake ndio inalinda maeneo yote nyeti Nchini
 
Kuna jamaa namfahamu alisoma na huyo mheshimiwa A-level anasema kichwani yuko vizuri...
 
Back
Top Bottom