Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Ushangae kwamba jamaa wa pembeni yake akilalamika kuwa wakati anakoroma bahati mbaya sana akaachia ush**zi! Tena wa sauti kubwa!Na bado analipwa posho chungu nzima ya kuuchapa usingizi bungeni! Kaazi kweli kweli!