Si kuna thread nilianzisha mods wameitoa?wako makini kumlinda Dikteta wenu wa huko chagga mafioso Declpmnt...anekuwa Nape nnauye ingeondolewa?mods acheni kuwalinda hawa madikteta wa cdm....
Alikuwa amekaa tu wakati mbunge wa njombe alikuwa akichangia hoja,pamoja na yote mbunge huyo hakucheza fair play aliendelea kuongea mpaka m'kiti alipomsimamisha kuongea na haikutosha jamaa aliadai muda wake utunze