Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.
Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.
Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.
Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.
Bunge lenye members waliopatikana kwa hisani ya mtawala linawezaje kuwa huru kwa mfano? Mahakama yenye majaji na mahakimu waliopanda vyeo (au wanaotarajia kupanda vyeo) kwa hisani ya mtawala inawezaje kuwa huru kwa mfano? Vivyo hivyo kwa institutions zingine!
Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.
Wenzake maccm watakuwa wanam-zoom tu. Ili vyombo vyote viwe huru ni kwamba HAKI itendeke maeneo yote. Tatizo ni kuwa mafisadi/wauaji wanajua hawatoboi Haki ikitamalaki