Mbunge Jesca Kishoa umekiuka Mila Za Kinyiramba

Mbunge Jesca Kishoa umekiuka Mila Za Kinyiramba

Hayo ndiyo Madhara ya kumpa nguvu kubwa mwanamke na Faida ya haki sawa kwa wote!!...
Maamuzi yapo kwa David Kafulila sasa kuamua!!...
Akimuacha, mi namfuata kwao Kiomboi.
 
Mbunge wa viti Maalum kupitia Chadema Jesca Kishoa Kafulila amekiuka mila za kabila la wanyiramba Kwa kufanya utovu wa Nidhamu kujitokeza hadharani Kwenye TV na kumnanga mume wake David Kafulila.

Ni mwiko Kwa mila za Kinyiramba mtoto wa kike kujibizana na mume wako hadharani .Jesca ameenda Kwenye TV amekiuka mila na kosa hili mpaka afanyiwe Zindiko lá kondoo mweupe vinginevyo Ndoa yake itavunjika na hawezi kuolewa Tena maisha yake yote. Hiyo ni Laana amejipalia ama Kwa makusudi au kutojua au mhemko wa siasa.

Jesca Kishoa aliolewa na Kafulila wakati huo Kafulila akiwa NCCR MAGEUZI na Jesca Alikuwa ni CHADEMA. kwahiyo walioana wakiwa na itikadi tofauti.

Jesca nini kilichokupeleka Kwenye TV kushambulia mume wako? Wewe ni Msemaji wa Chadema taifa? Unatumwa na Wanasiasa kuharibu Ndoa yako? Kweli mwanamke mjinga huivunja Ndoa Kwa mikono yake mwenyewe.

Umekosea sana, umekiuka mila za Kinyiramba waziwazi, Njoo Kwa Wazee uombe radhi na Zindiko lá kondoo mweupe lifanyike haraka. Ukikataa kufuata Ushauri huu wa kimila Ndoa yako itavunjika na hutakaa uolewe maisha yako yote.

Songela Mbwanuwe!!!!!!
Wanawake wa kinyeramba ninaowajua Mimi,ni hulka yao kiburi,matambo & usalit.
Kwa hiyo sijashangaa kilichofanywa na mheshmiwa.

Songela Zigizig!, mleta mada !!
 
Tunategemea gegedo kumrudisha Kafulia kundini hakika.
Maana muda wa gegedo "bebi unaniachaje niingie vikaoni mwenyewe?"
 
SASA HAPO KATI YA KAFULILA NA HUYO DADA NANI HAJIELEWI? MWANAUME MSMAMO BHANA, SYO UNATINGISHWA KIDOGO NA NJAA, UMEACHIA, MWSHO UNAKUWA SHOGA.

HEKO BIBIE, UKIACHWA NIPM NIKUOE.. WANAWAKE NGANGARI KM WEW NDYO WANAFAA KUOLEWA.

USAWA OYEE
 
Mie mnyiramba mbona sijui hizo mambo ngoja nikienda kijijini ntaulizia kwa wazee
 
Wanaishi ktk nyumba moja ? Kama ni hivyo basi ni magizo tuu wanayafanya nje ya nyumba. Kama mbowe awe na taarifa muda mrefu inawezekanaje mke wa kitanda kimoja aisikie taarifa akiwa bungeni kama sisi kupitia vyombo vya habari. Inamaana hata mbowe hakumtaarifu huyo jessicka? Hapo ni siHASA hakuna jingine
 
CCM bhana.
Alichokifanya kafulila maana ni sahihi?
HAO NI MKE NA MUME. WAKATI WANATONGOZANA HAMKUWEPO, WAKATI WANAOANA HAMKUWEPO,
fungeni midomo yenu.
 
Mbunge wa viti Maalum kupitia Chadema Jesca Kishoa Kafulila amekiuka mila za kabila la wanyiramba Kwa kufanya utovu wa Nidhamu kujitokeza hadharani Kwenye TV na kumnanga mume wake David Kafulila.

Ni mwiko Kwa mila za Kinyiramba mtoto wa kike kujibizana na mume wako hadharani .Jesca ameenda Kwenye TV amekiuka mila na kosa hili mpaka afanyiwe Zindiko lá kondoo mweupe vinginevyo Ndoa yake itavunjika na hawezi kuolewa Tena maisha yake yote. Hiyo ni Laana amejipalia ama Kwa makusudi au kutojua au mhemko wa siasa.

Jesca Kishoa aliolewa na Kafulila wakati huo Kafulila akiwa NCCR MAGEUZI na Jesca Alikuwa ni CHADEMA. kwahiyo walioana wakiwa na itikadi tofauti.

Jesca nini kilichokupeleka Kwenye TV kushambulia mume wako? Wewe ni Msemaji wa Chadema taifa? Unatumwa na Wanasiasa kuharibu Ndoa yako? Kweli mwanamke mjinga huivunja Ndoa Kwa mikono yake mwenyewe.

Umekosea sana, umekiuka mila za Kinyiramba waziwazi, Njoo Kwa Wazee uombe radhi na Zindiko lá kondoo mweupe lifanyike haraka. Ukikataa kufuata Ushauri huu wa kimila Ndoa yako itavunjika na hutakaa uolewe maisha yako yote.

Songela Mbwanuwe!!!!!!
Yaani mayo leka ileka.
 
Mbunge wa viti Maalum kupitia Chadema Jesca Kishoa Kafulila amekiuka mila za kabila la wanyiramba Kwa kufanya utovu wa Nidhamu kujitokeza hadharani Kwenye TV na kumnanga mume wake David Kafulila.

Ni mwiko Kwa mila za Kinyiramba mtoto wa kike kujibizana na mume wako hadharani .Jesca ameenda Kwenye TV amekiuka mila na kosa hili mpaka afanyiwe Zindiko lá kondoo mweupe vinginevyo Ndoa yake itavunjika na hawezi kuolewa Tena maisha yake yote. Hiyo ni Laana amejipalia ama Kwa makusudi au kutojua au mhemko wa siasa.

Jesca Kishoa aliolewa na Kafulila wakati huo Kafulila akiwa NCCR MAGEUZI na Jesca Alikuwa ni CHADEMA. kwahiyo walioana wakiwa na itikadi tofauti.

Jesca nini kilichokupeleka Kwenye TV kushambulia mume wako? Wewe ni Msemaji wa Chadema taifa? Unatumwa na Wanasiasa kuharibu Ndoa yako? Kweli mwanamke mjinga huivunja Ndoa Kwa mikono yake mwenyewe.

Umekosea sana, umekiuka mila za Kinyiramba waziwazi, Njoo Kwa Wazee uombe radhi na Zindiko lá kondoo mweupe lifanyike haraka. Ukikataa kufuata Ushauri huu wa kimila Ndoa yako itavunjika na hutakaa uolewe maisha yako yote.

Songela Mbwanuwe!!!!!!
Wewe umeolewa?
 
Uyo mbowe na lowasa wanasemaga SIASA SIO UADUI....sasa wapumbavu wengine wanasema aachane na mumuwe kisa amehama chama
like seriously????
 
Wewe sio mnyiramba kwa sababu hujui nguvu ya mwanamke kinyiramba.
Huku ukoo unakuwa kwa mama
 
Back
Top Bottom