Mbunge Jerry Silaa hajui kitu kuhusu ATCL, asijifanye mjuaji

Prof Koboko

JF-Expert Member
Aug 15, 2020
350
2,549
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu huwa napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE
Msomi mzima huwezi kusema kuwa hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia, Kenya, Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
 
Jerry Slaa ni puppet
Yuko nyuma ya watu..
Akiongea Bashe ujue Rostam kaongea
Kuna wabunge huwa wanaongea Kwa niaba ya wengine...
Watu wakubwa kama kina Kinana.Lowasa.
Kikwete na wengine Wana wabunge wao
Wanazungumza kwa niaba yao..
 
Nami niliona huyo bwana anapotosha sana huenda hajui biashara.Baba yake alikua rubani sio mfanyabiashara wa biashara hiyo
Serikali Haifanyi biashara.. inatoa huduma. Na hapa ndipo tunataka kufeli.. kuendesha nchi kama corporation wakati mtaji unaotumika (Kodi) ni ya mwananchi. Ikiwa miradi ya serikali italeta faida in the process hiyo ni safi ila usilenge Watu wako ndio soko lako..

Madege yaende Uchina na Ulaya yaje na watalii walipe tupate fedha za kigeni walale kwenye hoteli zetu tutakazozijenga kwa mikopo nafuu ili tupate mafedha mengi kama wananchi na kodi zipunguzwe na mishahara iboreke.

Ukichimba madini safi wauzie huko.nje tupate fedha kwa mamilioni na mamilioni ..jenga sgr wafanyie biashara wakongo na warundi huko.. sio unatuangalia sisi kwa fedha yetu ya kodi utufanyie biashara.. tuache hoi tabia.mara moja.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Baba yake alikuwa Rubani basi anajiona tayari yeye ni Mtaalam wa kila kitu kwny ndege kuanzia Engine, Kapeti za ndege hadi mfumo mzima wa baishara

Watoto wa 'Fundi Garage' hujifanya wanajua kila kitu kwny Magari
WANAFKI wa kwenda na upepo hamuishi. Hakuamini kua hayati keshapimzika,mnaweza kinyumanyuma tu
 
Serikali Haifanyi biashara.. inatoa huduma. Na hapa ndipo tunataka kufeli.. kuendesha nchi kama corporation wakati mtaji unaotumika (Kodi) ni ya mwananchi. Ikiwa miradi ya serikali italeta faida in the process hiyo ni safi ila usilenge Watu wako ndio soko lako..

Madege yaende Uchina na Ulaya yaje na watalii walipe tupate fedha za kigeni walale kwenye hoteli zetu tutakazozijenga kwa mikopo nafuu ili tupate mafedha mengi kama wananchi na kodi zipunguzwe na mishahara iboreke.

Ukichimba madini safi wauzie huko.nje tupate fedha kwa mamilioni na mamilioni ..jenga sgr wafanyie biashara wakongo na warundi huko.. sio unatuangalia sisi kwa fedha yetu ya kodi utufanyie biashara.. tuache hoi tabia.mara moja.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Lakini ATC lilianzishwa kufanya biashara na siyo huduma. Ndiyo maana kuna ndege za serikali zilikua zikitoa huduma zikakodishwa ATCL.
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jery Slaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?
Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?


Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.
Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.


Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Mzee umedadavua viziri. Kuna jamaa alikuwa anawaelekeza wengine wawe makini kupata lecture toka kwa huyu jamaa. Tangulini kipofu kuongoza kipofu mwenzie.
 
Mwambie Silaa Jerry tatizo sio ndege tatizo kununua madege mengi kwa keshi wakati jimboni kwake hadi sasa hakuna kilomita za kutosha za lami, maji na huduma za afya... Asijishaulishe kuwa yupo ndani ya jiji la ilala huku wakazi wake wengi hawana hadhi hiyo ya kukaa ndani ya jiji.... Otherwise ni utafutaji wa fursa tu hivo muacheni wabunge wengi wa ccm wanauota uwaziri
 
Kwa hiyo mnatakaje? Shirika liuzwe? Ndege ziuzwe au nini hasaaa... Ni vema kwenda moja kwa moja kwenye suluhisho sababu muhusika wa yote kishatangulia mbele za haki.
Mhusika mkuu hajaenda mbele za haki tusicheze na upendo na unyenyekevu wa ALLAH,damu nyingi ipo mikononi mwake (elewa Ben Saanane alikuwa member humu ,fikiria familia yake au wewe unafurahi Maadam umezungukukwa na wapendwa wako,fikiria watoto wa Ben Saanane na wengineo wengi tu)yuko motoni straight...na shirika la ndege libinafisishwe au liingie ubia na shirika jingine kubwa linalojiendesha kisayansi kama Ethiopian airways au angalia ubia wa Rwandair ni mzuri tukauiga.
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jery Slaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?
Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?


Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.
Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.


Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
"Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa."

Basi kama ingekuwa ni hivyo tusifanye mradi wowote hadi tuwe na "economic stability katika taifa" -- whatever that supposed to mean. Yaani taifa lisiwe na mradi wowote hadi tuwe stable kiuchumi, hiyo kanuni ni ya kwako tu. Hata ngazi ya familia hatufanyi hivyo. Tabu sana kuishi nchi moja na raia wenye mawazo ya umaskini kama hivi.
 
Back
Top Bottom