mbunge fulani na utandawazi

wakumbuli

Senior Member
Aug 20, 2009
147
4
hivi wajameni ,habari zenu,juzi kwenye kipindi fulani hivi niliangalia eatv nikaona Mh Mbunge wa Bumbuli akioshwa kichwa je waungwana ni halali au ndio utandawazi wenyewe,na je ndio kusema mkewe yuko bizy kiasi cha kumhudumia mumewe,au je ni ni kweli ameshindwa hata kukata kucha
 
Makosa yako wapi kama ni huduma amepewa offer na wananchi au amelipia kwa kinyozi.
 
Huyu ni shoga mbona anajulikana,uliza uwambiwe aliyokuwa anayafanya Sumbawanga alipokuwa anafanya kazi baada ya kutoka Kigoma
 
Back
Top Bottom