hivi wajameni ,habari zenu,juzi kwenye kipindi fulani hivi niliangalia eatv nikaona Mh Mbunge wa Bumbuli akioshwa kichwa je waungwana ni halali au ndio utandawazi wenyewe,na je ndio kusema mkewe yuko bizy kiasi cha kumhudumia mumewe,au je ni ni kweli ameshindwa hata kukata kucha