realsam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 289
- 135
HAZIONI USIKU NDO MAANAHivi tochi za mapolisi huwa hazipo usiku??? maana hakuna jibu zaidi ya mwendo kasi ....baada ya ujio wa tochi mchana ajali zimepungua sana na madereva wanaendesha kwa adabu lakini usiku ni "fungulia dog" matokeo yake ndio haya