Copy hii link kisha i-paste huko twitter au facebook:Nashindwa ku-share hii habari kwny social network kupitia simu..naomba mnisaidie
http://j.mp/LbwKjJ
Copy hii link kisha i-paste huko twitter au facebook:
Code:http://j.mp/LbwKjJ
Nashindwa ku-share hii habari kwny social network kupitia simu..naomba mnisaidie
Aina ya kisimu chako mkuu!
umesema ukweli mkuu wabunge walio wengi wapo kama mbuzi wa kafara anapopepkwa kuchijnwa anapiga makele na kukukuruka lakini badae anakaa kimya kukikubali kisu, ndivo nao walivo wakati wa kuchangia utaona namna povu linawatoka ila mwisho ndiyooooooooooooooooooo!!Aache uongo, tangu wote mzaliwe ni lini mmeawahi sikia budget kuu ikagomewa. Mlishaambiwa na spika kwamba hiyo kitu haiwezekani. Nawahakikishia, watarap sana, watapinga sana huku wakiunga kwa 100%. mwisho tutaambulia mayowe ya ndiyoooooooooooooooooooooooooooooo. Nani asiye juwa unafiki wa magamba.
Mnafiki sana huyo. Je alisaini kwenye daftari la Zitto? Huku wilayani kuna mkakati wa kumtosa mwaka 2015. Kamati ya siasa ameshatofautiana nayo hivyo sasa hivi anajidai kelele hapo ili makamanda wamkubali! Mchumia tumbo huyo. Magamba wanampango wa kumsimamisha bw. m1 anaitwa Nyanvenve, hiyo huyu kasoma alama za nyakati. Bahati mbaya kwake huku kwetu kuna taarifa ambazo bado ziko under the carpet kuwa mpinzani wake wa 2010 kwenye kura za maoni (Masanja) ameshawahi kwa makamanda! ngoja tusubiri.