Mbunge CCM: Bajeti si yenyewe imechakachuliwa

Hizi ni kelele tu, mwisho wa siku bajeti itapitishwa kwa mbwembwe.....mtaona!

katavi,
huo ni upepo tu utapita. baada ya siku tano utaona wote wataitwa kwenye caucusus ya magamba then utasikia ndiooooo. then bi kiroboto km kawa atasema "waliosema ndio NADHANI wameshinda" na mchezo kwisha.
 
mie kimya ,nasubiri kauli ya NAPE.maana huyu mbunge kakiuka utaratibu na amevunja kanuni za chama.
 
Duh!. sasa tulinganishe yupi afadhali, Zakia Meghji, Mstapha Mkulo au huyu Ngimwa?.
Ili tumrudishe kuokoa nchi isifirirsike na tupate maendeleo.
Nimeandika hivi maan naona kama waziri hakubali ushauri wowote!.
Nakulingana na teuzi zilizopita na utendaji wa Mawaziri sioni mwinge mpya ndani ya Magamba anayafaa.
 
huyu mbunge anajua sana kusoma alama za nyakati,hajajilipua ila amejilinda na kujijenga! big up Mpina.
 
Sitalishanga gamba NAPE, likiibuka na kumwita huyu MZALENDO oil chafu!! Naomba Mungu siku moja nipate nafasi ya kuwatumikia wananchi, I swear sitacheka na gamba lolote. Mfano hawa wenye id za "zomba" na sijui "tume ya katiba", wanafiki wakubwa!!
 
Safari na matumizi tu ya mawasiliano kwa wizara mbili sihsangai ndo ikawa bajeti nzima ya Wizara (Michezo na utamaduni?)
 
katavi,
huo ni upepo tu utapita. baada ya siku tano utaona wote wataitwa kwenye caucusus ya magamba then utasikia ndiooooo. then bi kiroboto km kawa atasema "waliosema ndio NADHANI wameshinda" na mchezo kwisha.
Umeona hawa wanatuchezea akili tu.
 
Naomba Mama Makinda aongeze ulinzi ndani y jengo la Bunge. this time nahisi ngumi zitarushwa live na TBC from Bungeni.

Kama moto ndo umeanzia ndani ya CCM, hiyo petrol (CHADEMA) ikimiminwa hapo si ndo kitakuwa kimenukishwa?

Eeeh Mwenyezi Mungu naomba uubariki huu ugomvi wa bajeti ili wengi wafie ndani ya mjengo.
 
Wakuu hakuna haja ya kumpongeza huyu mchovu. Anatafuta huruma ya wananchi huyu. Huyu akijidai kuja kwa makamanda awe raia tu wa kawaida, kwa makamanda jimbo la Kisesa tumejaa! Alikuwa wapi miaka ile bajeti zinapangwa lakini fedha haipelekwi? Yeye anatafuta pa kutokea tu. Maana anajua fika hata magamba wangemrudisha 2015 hapati kitu.
 
huyu mbunge anaakili timamu maana naona anafufuka maana jahazi la ccm ni wafu wote ukiwageuzia kokote wanakubali, hata ukichapa, ukilia haisaidii tunahitaji wazalendo kama hawa
 
Hizi demokrasia kutoka kwa wazungu ndiyo zinazalisha yote haya, mngevikumbuka vitabu vya mungu msingepata shida, ukiangalia tu unajua fulani anafaa anaitwa aje atuongoze.
 
Hii ni kutokana na sababu zifuatazo.

1.Amesimama kidete katika kupinga bajeti legelege ya 2012/2013 isiyokidhi matakwa ya wanyonge bila kujali kuwa yeye ni wa chama tawala tofauti na wabunge wengine wa ccm.
2 .Amejitahidi kusimamia matumizi mazuri ya jimbo na wilaya yake ikiwemo kufuatilia kiufanisi mapato na matumizi ya fedha za serikali katika miradi.Mfano ujenz wa chumba cha kuhfadhia maiti wilayani hapo.
3.Ameweza kufuatilia suala zima la migogoro ya ardhi na mipaka ya hifadhi za wanyama hasa katka maeneo ya makao,sungu,irambandogo na maswa game reserves.
4.Ameshughulikia kikamilifu suala la kuchimba visima na kuvuta umeme katka jimbo lake. Mfano pale mwandoya.
5.Ameimarisha ulinzi wa mali na wananch wake kwa kutumia njia ya ulinzi shirikishi.
6.Ni mtu wa watu anasikiliZA wananch wake.

Na mengne mengi, Anastahili pongezi.
 
Back
Top Bottom