Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Hizi ni kelele tu, mwisho wa siku bajeti itapitishwa kwa mbwembwe.....mtaona!
katavi,
huo ni upepo tu utapita. baada ya siku tano utaona wote wataitwa kwenye caucusus ya magamba then utasikia ndiooooo. then bi kiroboto km kawa atasema "waliosema ndio NADHANI wameshinda" na mchezo kwisha.