Optimisticforchange
Member
- Apr 29, 2012
- 43
- 5
Hivi niulize je alitia saini ktk kitabu cha zitto kabwe wakati wa kura za kumwondoa waziri mkuu?
Maana watu kama Mpina wako wengi ndani ya CCM.
Wapi kina Kilango, Sitta, Mwakyembe ambao tulidhani ni wasafi lakini inapofikia kwenye maamuzi magumu wanagwaya. Wasicheze na akili zetu. Ama kweli CCM wanahaha msitu haukaliki, ha ha ha haaa!
Maana watu kama Mpina wako wengi ndani ya CCM.
Wapi kina Kilango, Sitta, Mwakyembe ambao tulidhani ni wasafi lakini inapofikia kwenye maamuzi magumu wanagwaya. Wasicheze na akili zetu. Ama kweli CCM wanahaha msitu haukaliki, ha ha ha haaa!