Mbunge Azan Zungu aboronga Bungeni

Mbunge Azan Zungu aboronga Bungeni

Every exploitative system produces a poison that kills it slowly and softly!
 
Na ni muhuni kweli kweli. Dawa yao 2015 tu. Hatuwezi shuhudia mwenyekiti anaendesha chombo chetu kihunihuni namna hii
 
Wenzao kenya wanavote kwa kutumia biometric kwenye desk zao hapa mnapiga kura kwa kuzomea...shame!
basi hamna haja ya kujadili iwapo uamuzi mnao tayari
 
Mods msitoe uzi huu
bunge la jioni hii mwenyekiti kaendesha bunge kihuni na aikubariki kwa maslahi ya watanzania kwa-;
1. jinsi alivyomaliza hoja ya Bulaya
2. Kukataa mwongozo wa kigwangala

kwa hoja ya mh Bulaya kosa ni lake mwenyewe hakumaliza kwa kutoa hoja hvyo mwenyekiti inampasa kuendelea. Pili, kwa hoja ya Kigwangala alimkosea haki kwani hata muda wa kuhairisha bunge ulikuwa bado nilimchomuona mh Zungu ni muoga sana wa miongozo, taarifa na kuhusu utaratibu. Inaonekana hayuko fiti kwenye kanuni!
 
kwa hoja ya mh Bulaya kosa ni lake mwenyewe hakumaliza kwa kutoa hoja hvyo mwenyekiti inampasa kuendelea. Pili, kwa hoja ya Kigwangala alimkosea haki kwani hata muda wa kuhairisha bunge ulikuwa bado nilimchomuona mh Zungu ni muoga sana wa miongozo, taarifa na kuhusu utaratibu. Inaonekana hayuko fiti kwenye kanuni!

Wabunge wengi wa ccm hawako fit wamekalia ushabiki na fuata upepo
 
Anatuaibisha wenye 'vipara'!

..Nadhani Idd Azan 'Zungu', mbunge wa kinondoni, hana upara. Mwenye upara ni Musa Zungu, mbunge wa Ilala. Musa Zungu ana upara wa maana kama runaway ya uwanja wa ndege!
 
Kutokuwa na busara na hekima kwa viongozi wetu kutaendelea kuleta matatizo na kutoelewana miongoni mwetu katika nchi yetu iliyokuwa na amani Tanzania.

Leo hii katika mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi 2013-2014, mbunge wa Ilala Azan Zungu, amesababisha kutokea kwa kelele bungeni zilizotokana na minong'ono toka kwa baadhi ya waheshimiwa wabunge hasa toka vyama vya upinzani, baada ya kutangaza na kuwatambulisha vijana wawili, Mwampamba na Juliana Shoza waliohama toka CHADEMA na kujiunga na CCM!

Bila ya kutokuwa na haya, mbunge huyo amediriki pia kuwataka wanafunzi wa shule ya msingi Ilala wakue haraka ili waje kumpigia kura siku zijazo! Ameshindwa kuwaasa wanafunzi hao waliokwenda bungeni kujifunza, kuwa wasome sana ili kesho waje kuwa viongozi bora na waadilifu katika nchi! Badala yake anawafundisha kuwa na tamaa ya kukaa madarakani kwa muda mrefu!

"Leave your mark where others can only dream on going."

Hivi ni lini mtajifunza kiswahili? Mwampamba na Shonza WALIFUKUZWA CHADEMA na sio kuwa walihama, upilike ughwe kisugujira ?
 
Last edited by a moderator:
yeye na iddi azzan ni mtu na binamu yake, watakamata majimbo hayo kwa muda mrefu kutokana na siasa za udini na pia fedha chafu;
 
Jamaa alivoliahirisha bunge kihuni jioni hii ndo nimeamini huyu mtu anabwia unga!kweli tz tumepotea.
 
Hata iweje! Hata tufundishane namna gani! Kwa kuwa sifa ya ubunge bado ni kujua kusoma na kuandika Kiswahili/and Kiingereza, Mapungufu kama hayo na matusi yanayolalamikiwa hayatakwisha.

Tuhakikishe kwamba katiba ijayo inaweka kiwango cha elimu ya Mbunge. Waganda wanasema, bila digrii, Ubunge hapana!
 
Kutokuwa na busara na hekima kwa viongozi wetu kutaendelea kuleta matatizo na kutoelewana miongoni mwetu katika nchi yetu iliyokuwa na amani Tanzania.

Leo hii katika mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi 2013-2014, mbunge wa Ilala Azan Zungu, amesababisha kutokea kwa kelele bungeni zilizotokana na minong'ono toka kwa baadhi ya waheshimiwa wabunge hasa toka vyama vya upinzani, baada ya kutangaza na kuwatambulisha vijana wawili, Mwampamba na Juliana Shoza waliohama toka CHADEMA na kujiunga na CCM!

Bila ya kutokuwa na haya, mbunge huyo amediriki pia kuwataka wanafunzi wa shule ya msingi Ilala wakue haraka ili waje kumpigia kura siku zijazo! Ameshindwa kuwaasa wanafunzi hao waliokwenda bungeni kujifunza, kuwa wasome sana ili kesho waje kuwa viongozi bora na waadilifu katika nchi! Badala yake anawafundisha kuwa na tamaa ya kukaa madarakani kwa muda mrefu!

"Leave your mark where others can only dream on going."

kweli akili ni nyele, na ukiachilia mbali wadau wa jamvi walio na vipara, kipara cha zungu ni jibu sahihi kuwa 'akili ni nywele, hivyo kwa yeye kukosa nywele kichwani ndio ishara ya kuwa hakuna akili kicwani....huyu zungu, labda analewa bia za breweries au la ile harufu inampeleka vyema! mtu mwenye akili timamu hawezi kusimama na kutambulisha wahuni kama sio ccm iliwatuma 'virusi' hao na sasa wanajipongeza kwa kudhani wameshafanikiwa! ole wake zungu...2015 ataisikia habari ya jimbo la ilala ktk taarifa ya habari
 
Hivi ni lini mtajifunza kiswahili? Mwampamba na Shonza WALIFUKUZWA CHADEMA na sio kuwa walihama, upilike ughwe kisugujira ?

Aseeeeh Baba V, nani hajui kiswahili? Mbunge wako Zungu ndiye kasema hao vibaraka watoto wamehama toka CHADEMA na kwenda CCM. Kaona aibu kuwatambulisha kama wasaliti waliofukuzwa toka CHADEMA na kwenda CCM!
 
Back
Top Bottom