Mbunge Azan Zungu aboronga Bungeni

Mbunge Azan Zungu aboronga Bungeni

Mods msitoe uzi huu
bunge la jioni hii mwenyekiti kaendesha bunge kihuni na aikubariki kwa maslahi ya watanzania kwa-;
1. jinsi alivyomaliza hoja ya Bulaya
2. Kukataa mwongozo wa kigwangala
 
Mods msitoe uzi huu
bunge la jioni hii mwenyekiti kaendesha bunge kihuni na aikubariki kwa maslahi ya watanzania kwa-;
1. jinsi alivyomaliza hoja ya Bulaya
2. Kukataa mwongozo wa kigwangala

Yaani ccm ni hatari kweli kweli, hawa kila mmoja anachunga maslahi yake.
 
Nimemkubali sana Mh. Zungu... waliotaka kuondoa shillingi hawakuwa na hoja zenye mshiko... bali ushabiki tu... kama wenyeviti wote wangekuwa hivi Bunge letu lingekuwa na heshima sana.
 
Hakuna maana ya sheria wala hakuna maana ya kanuni za bunge.

Maigizo tu.
Tutakutana mtaani 2015.
 
Nimeangalia bahati mbaya utaratibu huu unatuaminisha kuwa Bunge ni sehemu ya kupitisha tu kila kitu kinachopelekwa. Wanadhalilisha Taasisi hii.
 
Nimemkubali sana Mh. Zungu... waliotaka kuondoa shillingi hawakuwa na hoja zenye mshiko... bali ushabiki tu... kama wenyeviti wote wangekuwa hivi Bunge letu lingekuwa na heshima sana.

Sawa kabisa.... uploadfromtaptalk1368809502416.jpg
 
Mh, zungu yuko sahihi yuko pale kwa mujibu wa sheria unataka aruhusu kila jambo pale? Amepima na anajuwa nia ya muomba utaratibu alikuwa na hoja ya msingi ama kutafuta umaarufu. Acheni kulalamika kila jambo maana ya kiti cha spika ndiyo hiyo .
 
Mimi nilivyoelewa Bulaya wakati anamalizi kusema,hakuomba kutoa hoja,ndo maana mwenyekiti akaendelea na kuwahoji wabunge.
 
Makinda mbaya, Ndugai mbayaaaaaa, Hassan Zungu MHUNI
sasa sijui nani atakuwa mzuri ambaye atakubali kupelekeshwa na Wabunge na kuharibu Kikao ili kuwafurahisha Wabunge wanaotaka kuonekana katika Luninga tu.
 
Mimi binafsi nimeangali uhuni alioufanya zungu kwa kuipuuza na kuizima hoja ya Bulaya.Tatizo lingine ni hii mibunge ya kusema ndioooooo ambayo ni ya CCM.kila siku ni ndio alafu yakirudi kwa wanaanchi yanajitia yana uchungu na watanzania.

Walaniwe wabunge wa CCM!

Alaniwe Zungu na kizazi chake chote!
 
Kwani kilicho wasababisha mumnyime Six u spika ni nini?licha ya Sita kukandamiza upinzani ila was far better.Ila tunahitaji Change kubwa ya kimfumo.
 
Back
Top Bottom