Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

Naomba mtuwekee picha za huo mskiti ulio chomwa! Mbona kama mpya?

Yan mpaka mbuge anasema kweli waislam wanao swali mbona hawajasema?

Nashindwa kuyaamini maneno ya huyo mbunge, kama mskiti ungekuwa umechomwa waislam wasinge nyamaza.
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja...umeishaona wapi muandishi wa habari mkereketwa wa chama cha siasa.

Duh!kichekesho,Tanzania hakuna waandishi wa habari(Sawa!),wengi wao(Hawa wanatoka wapi sasa,wakati ulishasema hakuna waandishi wa habari,ina maana unajipinga wewe mwenyewe?)
 
Mbona rais wa Zanzibar alipoadress juu ya machafuko Zanzibar hakutaja msikiti ulioharibiwa naye anapendelea upande mmoja tu?
Labda kwa kuwa yeye si mwana uamsho!Waislamu mbona mnatapatapa wakati huu ni mwanzo tu wa mapambano ya kidni mliyoyaasisi nyinyi wenyewe?
 
Kama ni Police ndio walipiga mabomu msikiti basi hakukuwa na haja ya kureport, sababu tulichokuwa tunapaswa kufahamu ni athari zilizosababishwa na raia ambao ndio walikuwa chanzo, Kama maelezo yako ni kweli, sababu wewe nae sikuamini amini, basi mbunge huyo ndio atakuwa ana tatizo la udini, sababu anafikiri kwamba kama ingerepotiwa basi ingekuwa rahisi sana kujustify kwamba makanisa hayakuchomwa na waislamu, bahati nzuri vyombo vya habari havikuingia kwenye mtego huo.

Kwa MAKUSUDI kulipitiza kisasi cha kuchomwa makanisa, maana wenyewe wazenji wanasema ni POLICE KUTOKA BARA, na si police wao ! sasa hapo utasema nini
 
Kama ni Police ndio walipiga mabomu msikiti basi hakukuwa na haja ya kureport, sababu tulichokuwa tunapaswa kufahamu ni athari zilizosababishwa na raia ambao ndio walikuwa chanzo, Kama maelezo yako ni kweli, sababu wewe nae sikuamini amini, basi mbunge huyo ndio atakuwa ana tatizo la udini, sababu anafikiri kwamba kama ingerepotiwa basi ingekuwa rahisi sana kujustify kwamba makanisa hayakuchomwa na waislamu, bahati nzuri vyombo vya habari havikuingia kwenye mtego huo.

Nimecheka saaaaaaana, hilo lako ! na sikulazimishi ukitaka unaacha !
 
hivi kwa akili yako msikiti kupigwa bomb na polisi, na kanisa kuchomwa na waislam unauna ni vitu vinavyoelekeana?....kwani hao askari wa zenji si waislam karibia wote?...unajua wazanzibari akili zao ni mgando hawatakuja wapate akili ya kufikiri hata siku moja, yaani hata ukitaka kumharibu mtoto wako mpeleke shule yeyote ya zenji, atarudi akili zote ameziacha amekuwa kopo..hata waelimike namna gani, akili inabaki palepale...mbumbuumbu....

NAomba nikusahihshe, NI POLICE KUTOKA BARA! sio police wa zenji! tafadhali nenda zanzibar wakuhadithie usikie kwa masikio yako! wanasema walipelekwa usiku.
 
Kwa MAKUSUDI kulipitiza kisasi cha kuchomwa makanisa, maana wenyewe wazenji wanasema ni POLICE KUTOKA BARA, na si police wao ! sasa hapo utasema nini

Hao wanzibar wanamatatizo, Wabara walipize kisasi cha kuchomwa makanisa kwa msingi upi, kwamba wabara wote ni wakiristo? au kwamba makanisa yote Zanzibar yanaoriginate kutokea Bara?

Mimi nadhani wao ndio waliofanya uharibifu wa msikiti ili kupoteza chanzo halisi cha vurugu.
 
Duh habari mpya hii sijawahi kusikia kumbe msikiti uliharibiwa kibaya zaidi hata SUK chini ya mtukufu Rais Dr Shein hakulitaja hili kumbe na yeye ni mgalatia ha ha ha ha ha.
 
Ni kweli kabisa hayo aliyosema Mbunge. Na ni kweli kuna Misikiti ilipigwa mabomu, lakini habari zake zilifichwa kwa makusudi. Wapi tunaelekea Watanzania?

nani alificha?? nani alitakiwa kureport hilo swala?? je mbona hata said mwema hatujamsikia akisema hilo swala?? je kama ni police waliopiga mabomu msikiti huoni kama halihusiki kurepotiwa sana kama wananchi kuchoma kanisa???
 
Kama vyombo vya habari vilipotosha....... wabunge kama taasisi na serikali kwa pamoja waliwajibika kutoa ufafanuzi na kutupa habari sahihi wananchi.... kama ilivyo kwa mbunge kujipendelea posho hata vyombo vya habari vinaweza kufanya visivyo.
 
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA: (mkiristo)
muhariri mkuu:

Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi .
kweli ni hatari, hata Al-Nuur
halikuriporti habari hii , yawezekana nalo mhariri Mkristo -lol
 
Malaria Sugu na UDINI... ka vipi jitoe mhanga... tukikustukia unabadilisha ID... pole
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja...umeishaona wapi muandishi wa habari mkereketwa wa chama cha siasa.

Ni kweli mkuu nakubaliana na wewe kwasababu wakereketwa wapo ndani ya CCM mfano UHURU MZALENDO RAI MTAZANIA lakini ndani ya CDM huwa hawaitwi wakereketwa
 
Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
· Mapumziko siku ya ijumaa
· Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
· Mahakama ya kadhi
· Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.
 
kweli ni hatari, hata Al-Nuur
halikuriporti habari hii , yawezekana nalo mhariri Mkristo -lol

mfumo uliopo unawapa wahahariri na wamiliki wa vyombo vya habari nafasi kubwa ya kubase kwenye imani ya kidini zaidi
 
Back
Top Bottom