Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

Habari ya msikiti kuchomwa moto haifichiki, tusidanganyane. Itakuwa kama kuziba mbingu kwa kiganja!
 
Utawashirikisha wakristu (ambao ni 0.1%, wahindi ni 0.01% ) ambao hawawashi wala hawazima hapa Z'bar, wenyewe wanatafutana hawaonani, wenyewe mnajua kuwa kila ijumaa mnawaleta kwa bot ili kujazia na kuongeza idadi makanisani na hilo limedhirika baada ya kutokea vurugu wote waliingia mitini hao mbio hadi kwao bongo.

Washikeni basi naona mnasema tuuu, na hao uamsho wapo waziwazi, na leo hii walikuwa na muhadhara viwanja vya Maisara, si muwakamate tu, wacheni upumbavu wenu.
mpumbavu wewe kuku mtamu, eti wakamateni utafikiri watu basi, watu wenyewe nyoronyoro kama mlenda, fuu...k
 
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga

ONGEZA NA HAWA:

1. Mkurugenzi Mtendaji (ITV-Radio One), Joece Mhavile (Mkristo)
2. Mkurugenzi Mtendaji (Mwananchi), Tido Mhando (Mkristo)
3. Mhariri Mtendaji (Habari Leo/Dalynews), Mkubwa (Mkristo)
4. Mwenyekiti wa bodi (Raia Mwema), Ulimwngu (Mkristo)
5. Mhariri wa habari, magazeti ya serikali, Kulangwa (mkristo)
6. Mhariri mtendaji gazeti la Jamhuri D. Balille na naibu wake, Manyerere Jacton (Wakristo)
7. Mhariri mtendaji Raia Mwema (Bwire) ni (mkristo)
8. Mhariri mtendaji wa IPP (Nshana0 mkristo
9.Mhariri Mkuu wa Uhuru - Nape Nnauye (mkristo)
10. Mkurugenzi mtendaji TBC, Mshana mkrisro
11.Mhariri mtendaji wa New habari Corp (Prince Bagenda) naye mkristo.

Wengine nimewasahau. Naendelea kupekua hapa idara ya habari Maelezo ili niweke majina yao.
 
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga

UMESAHAU KIDOGO HUJATAJA GAZETI LA ZANZIBAR LEO,ALNUHUUR,JAMBO LEO NA RAIA MWEMA.JE HAO WALIANDIKA MISIKITI ILIYOCHOMWA?
UNAWEZA TUPA PICHA MOJA INAYOONESHA MSIKITI ULIOCHOMWA?
HUU UPUMBAVU WA KUHESABU WATENDAJI MAMAGAZETI NA DINI ZAO NI WENDAWAZIMU, LEO HII WAKRISTO WAKIANZA KULALAMIKA MAKANISA YANACHOMWA WAHALIFU WANAACHIWA BASI WAANGALIE VIONGOZI WA POLISI KWANZIA IGP MPAKA WAKUU WA VITUO WAKIONA WENGI NI WAISLAM BASI WAANZE KULALAMIKA HIVYO HII NCHI ITAENDA KWELI?magazeti uliyotaja asilimia karibu 90 ni ya watu binafsi sasa utamlazimisha mtu kuajiri watu?MIMI NAAMINI KILA MTENDAJI ANAFANYA KAZI YAKE SIO POLISI WALA MWANDISHI NA WOTE NI BINADAMU NA HUKOSEA .MTU KAKOSEA UNAMULIZA MPAKA YEYE NI DINI GANI?huu ni wendawazimu
 
Utawashirikisha wakristu (ambao ni 0.1%, wahindi ni 0.01% ) ambao hawawashi wala hawazima hapa Z'bar, wenyewe wanatafutana hawaonani, wenyewe mnajua kuwa kila ijumaa mnawaleta kwa bot ili kujazia na kuongeza idadi makanisani na hilo limedhirika baada ya kutokea vurugu wote waliingia mitini hao mbio hadi kwao bongo.

Washikeni basi naona mnasema tuuu, na hao uamsho wapo waziwazi, na leo hii walikuwa na muhadhara viwanja vya Maisara, si muwakamate tu, wacheni upumbavu wenu.
haki haitegemei wingi,hata wenyewe kuna ambao hawapendi muungano kwa nini muwanyime haki ya kuwa wanaharakati?HUU NI UDINI NA DINI UTAITAMBUA KWA MATENDO YAKE,ubaguzi ni sifa ya shetani,ulaya na america nchi nyingi zina wakristo zaidi ya 90% ,lakini sijawahi sikia kikundi cha dini kinachopigana maslahi ya taifa zima au kupigania nchi iendeshwe kwa sheria za kikristo.LAKINI NYIE WENZETU MWANZO MWISHO KUJIBAGUA SIJUI NDIO MMEONA VIVYO VIMAFUTA,KILA KONA MNAPANDIKIZA CHUKI MARA MFUMO KRISTO,KILA KITU MNALALAMIKIA KANISA VINGINE WALA KANISA HALIUSIKI KANISA LINAVUMILIA TU KWELI NYINYI DUNIA NZIMA NI MATATIZO,nilikuwa nina mpango wa kujifunza hata hiyo dini yenu lakini matendo yenu yanaeleza nyie mko upande gani
 
Ata mhariri wa al.nuur ni mkristo nini? Maana hata kuripoti mskiti uliochomwa wameshindwa.
 
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga
Umesahau kumtaja mhariri mkuu wa Al nuru ambaye pia ni mkristo tena msabato!
 
Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
· Mapumziko siku ya ijumaa
· Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
· Mahakama ya kadhi
· Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.
Hapo kwenye nyekundu, kwani katiba ya sasa inawakataza?
 
Mkuu umeongea jambo ambalo wengi hawalioni. Unapoongelewa habari maana yake ni kuandika matukio kama yanavyotokea. Lakini waandishi wengi kwa uvivu wamekuwa ni watu wa kuandika na kutangaza OPINIONS zao. Utamkuta mwandishi wa habari anashadadia chama cha siasa katika presentation zake kuliko kitu chochote. Mchezo huu upo kwa vyama vyote japo CCM wanaongoza hasa kwa kutumia TBC1. Kitendo cha JK kuchukua wanahabari na kuwazawadia ukuu wa wilaya kinafanya wengi wao waone njia pekee ya kufikia ndoto kama hiyo ni kujipendekeza kwa watoa MAFUPA ili nao wanaweza kutupiwa siku moja.

Hii dhana ya OPINION as NEWS imeodoa kabisa dhana ya habari Tanzania, wengine hata hawatumwi wala kuombwa ila utawasikia wanatoa povu kutetea CCM. Mi siku hizi naangalia CNN, BBC, Aljazeera na vyombo ambavyo at least vinaonesha impartiality kwenye taarifa zao. Japo hawa nao kwenye vita huwa waongoooo!.

unamfahamu mwanahabari wa bbc hafsa mosi hivi sasa ni nani ?
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja...umeishaona wapi muandishi wa habari mkereketwa wa chama cha siasa.

Ataachaje kuwa shabiki wakati ameajiriwa na, let say, Uhuru?
 
mKUU, MBONA UPO . KINACHOSIKITISHA WAHARIRI WETU WAMEVAA MOIWANI WA UKIRISTO BADALA YA UTZ


Tutajie japo mmoja na picha yake ili tuamini. Mbona thread ya yale makanisa yalipochomwa moto na lawama kutupiwa uamsho hamkukana na kutoa taarifa kuwa hata misikiti ilichomwa. Hapa gap kati ya waislam na wakristo ni elimu tu. Na kwa dunia ya sasa ya upinzani hata katika kampuni binafsi za waislam kuna wakristo wengi sana wanafanya kazi kule. Hizo tik tak na mataulo viunoni vitawasumbua sana , nendeni shule za elimu dunia. Balance your education system, kati ya dunia na ahera.
 
Hiyo ya mbunge, na comment yako ni spin of information, ina lengo la kupotosha kilichotokea. Mbona vyombo vya kiislam, radio imani, radio heri, al noor na vyombo vya waislam, kama abood tv na redio, wala vile vya zanzibar venye watumishi wote waislam, havikuonyesha misikiti iliyochomwa?
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga
 
NAomba nikusahihshe, NI POLICE KUTOKA BARA! sio police wa zenji! tafadhali nenda zanzibar wakuhadithie usikie kwa masikio yako! wanasema walipelekwa usiku.
wewe bogus wa kizenji, hata kama walikuwa polisi wa bara, hauoni tofauti kati ya waislam kuacha misikiti wachome makanisa na polisi kupiga mabom misikiti wakati wa kutuliza gasia ambao hao waislam wachoma makanisa walikuwa wamekimbilia misikitini ambako ndiko ambako huwa mnapangia mikakati ya namna ya kufanya ugaidi? hauoni tofauti? kwanini hao waislam hawakuchoma misikiti lakini walifanya uchaguzi wa busara kwao kuchoma makanisa tu na magari ya mapadri? hauoni moja kwa moja kuna element ya udini na ugaidi kwa hawa waislam....halafu kwa akili yako unafikiri polisi walichoma misikiti au walipiga misikiti mabom unaona kuna element ya udini kwa hawa polisi? mbona mnapendaa sana ku justify kitu au mnapenda watu waelewe kuwa polisi nao walifanya hivyo kwahiyo mnajifichia humo kuficha udini wenu na ugaidi mnaoelekezwa na kitabu chenu? ona aibu, ndo maana wazenji hamtakuja muwe na akili hata siku moja...kwa akili hizi za kizenji itafika kipindi wote mtakuwa midebwedo na mtakuwa mnazaa watoto wote midebwedoooo midebwedoooo tu, kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo akili zenu zinavyozidi kuharibika, na ndio maana mnatuchafulia jina kua tz kuna magaidi kwasababu magaidi wote tz wanatoka zenji....
 
wewe bogus wa kizenji, hata kama walikuwa polisi wa bara, hauoni tofauti kati ya waislam kuacha misikiti wachome makanisa na polisi kupiga mabom misikiti wakati wa kutuliza gasia ambao hao waislam wachoma makanisa walikuwa wamekimbilia misikitini ambako ndiko ambako huwa mnapangia mikakati ya namna ya kufanya ugaidi? hauoni tofauti? kwanini hao waislam hawakuchoma misikiti lakini walifanya uchaguzi wa busara kwao kuchoma makanisa tu na magari ya mapadri? hauoni moja kwa moja kuna element ya udini na ugaidi kwa hawa waislam....halafu kwa akili yako unafikiri polisi walichoma misikiti au walipiga misikiti mabom unaona kuna element ya udini kwa hawa polisi? mbona mnapendaa sana ku justify kitu au mnapenda watu waelewe kuwa polisi nao walifanya hivyo kwahiyo mnajifichia humo kuficha udini wenu na ugaidi mnaoelekezwa na kitabu chenu? ona aibu, ndo maana wazenji hamtakuja muwe na akili hata siku moja...kwa akili hizi za kizenji itafika kipindi wote mtakuwa midebwedo na mtakuwa mnazaa watoto wote midebwedoooo midebwedoooo tu, kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo akili zenu zinavyozidi kuharibika, na ndio maana mnatuchafulia jina kua tz kuna magaidi kwasababu magaidi wote tz wanatoka zenji....

Kitabu chenu wakristo hakielekezi ugaidi kinaelekeza kupendana na mwisho kuoana kama huyu mwafrika anavyoolewa na Padri mzungu kanisani


vicar_1700537c.jpg



The pair are due to marry on Oct 9 at the register office in Devizes before holding a service at St John the Baptist Church
 
mkuu umeongea jambo ambalo wengi hawalioni. Unapoongelewa habari maana yake ni kuandika matukio kama yanavyotokea. Lakini waandishi wengi kwa uvivu wamekuwa ni watu wa kuandika na kutangaza opinions zao. Utamkuta mwandishi wa habari anashadadia chama cha siasa katika presentation zake kuliko kitu chochote. Mchezo huu upo kwa vyama vyote japo ccm wanaongoza hasa kwa kutumia tbc1. Kitendo cha jk kuchukua wanahabari na kuwazawadia ukuu wa wilaya kinafanya wengi wao waone njia pekee ya kufikia ndoto kama hiyo ni kujipendekeza kwa watoa mafupa ili nao wanaweza kutupiwa siku moja.

Hii dhana ya opinion as news imeodoa kabisa dhana ya habari tanzania, wengine hata hawatumwi wala kuombwa ila utawasikia wanatoa povu kutetea ccm. Mi siku hizi naangalia cnn, bbc, aljazeera na vyombo ambavyo at least vinaonesha impartiality kwenye taarifa zao. Japo hawa nao kwenye vita huwa waongoooo!.
ila tbc1 wamezidi kuifagilia ccm utadhani hawajui kuwa 2015 haitakuwepo
 
Hao wanzibar wanamatatizo, Wabara walipize kisasi cha kuchomwa makanisa kwa msingi upi, kwamba wabara wote ni wakiristo? au kwamba makanisa yote Zanzibar yanaoriginate kutokea Bara?

Mimi nadhani wao ndio waliofanya uharibifu wa msikiti ili kupoteza chanzo halisi cha vurugu.

"wewe endelea kudhaniya. mimi nipo ground zero, ni kweli msikiti umeharibiwa kwa kupigwa mabomu na polisi, ni katika hao polisi ndio walotoa habari kwamba ulipigwa makusudi na polisi flani kutoka tanganyika, uchunguzi kamili umefanyika na kishajulikana. pia habari ya makanisa yaliyohujumiwa, hamtaki kukubali hiyari yenu, ila hata UAMSHO wamelaani kitendo hicho na wakaahidi watasaidia uchunguzi kujulikana nani amefanya kitendo hicho. KWA TAARIFA TU! Uamsho tayari wamepeleka rasmin taarifa yao polisi, iulizeni polisi ikutoleeni ripoti hiyo. Tatizo hili suala la kudai Zanzibar yetu sio dogo kama mnavyofikiri... hehehehe. ipo siku mtatusoma"

 
Ningependa nitukane lakini pepo shindwa, Al-Nuur na Redio Imani wako wapi wakati wabara wameharibu misikiti Zanzibar?
 
Back
Top Bottom