Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti
"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?
MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga
"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?
MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga