Garmii Senior Member Feb 26, 2011 164 19 May 16, 2011 #1 Mbunge moja nchin kenya ametinga bungeni akiwa amevalia sunglas na heren maskion,hii imekaaje?
Kibunango Platinum Member Aug 29, 2006 8,420 2,271 May 16, 2011 #3 Yule wa Mbeya mjini ana hereni ngapi?
K kagamba kadogo Senior Member Apr 24, 2011 178 13 May 16, 2011 #4 alikuwa muimba Hip Hop na ana mkoko wa kufa mtu. Hamna mbunge yoyote mwenye gari kama lake kenya kwa gharama....familia bora
alikuwa muimba Hip Hop na ana mkoko wa kufa mtu. Hamna mbunge yoyote mwenye gari kama lake kenya kwa gharama....familia bora
I IRAQW MINING Member Apr 18, 2011 86 6 May 16, 2011 #5 kagamba kadogo said: alikuwa muimba Hip Hop na ana mkoko wa kufa mtu. Hamna mbunge yoyote mwenye gari kama lake kenya kwa gharama....familia bora Click to expand... mambo safi ndio kuvaa heren ndugu?
kagamba kadogo said: alikuwa muimba Hip Hop na ana mkoko wa kufa mtu. Hamna mbunge yoyote mwenye gari kama lake kenya kwa gharama....familia bora Click to expand... mambo safi ndio kuvaa heren ndugu?
Nyamgluu JF-Expert Member Mar 10, 2006 3,160 1,719 May 16, 2011 #6 wekeni hata jina basi kama picha hamna.