Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Itakuwa ni kichekesho cha mwaka kwa idara ya MASHUSHU Kuchungzwa na wasio na weledi wa kishushu. Yaani wewe unatumwa na Zitto uende ukawachunguze wana usalama wa taifa na wewe unaenda hahahahaha.
Kwa kifupi bunge hiyo kamati zito anayotaka iundwe kwenda kuwachunguza mashushu itajikuta inajichunguza yenyewe badala ya kuchunguza wanausalama hao.
Kwanza mkumbuke kuwa hawa mashushu sifa kuu ya kuajiriwa ni Lazima uwe na uwezo mkubwa wa kiakili Darasani. Kwa maana hiyo hawa ni mkusanyiko wa wale waliokuwa wanatuongoza darasani ndio maana upatikanaji wao mara nyingi hufanyika kwa kuwatafuta mashuleni tena kwenyenzile Shule bora na za Vipaji.
Hawa ndio mnaotaka kwenda kuwachunguza??? Sifa ya kuwa mbunge ni wewe ujue tu kusoma na kuandika unataka kwenda kumchunguza Shushushu. Kama wamewateka kuliko muende kuwachunguza bora muwaombe msamaha tu wasiwateke tena.
Itakuwa ni ajabu kama Mashushu wetu watakubali kufuatiliwa kirahisi na itaonyesha udhaifu mkubwa sana. Hapa ndipo mnapotakiwa muuonyeshe umma kuwa kweli nyie mlikuwa bora darasani......
Na kama mtachunguzwa na kamati zetu za bunge zenye sample ya wabunge aina ya kina Mbowe walioshindwa kutafsiri maswali ya form six hadi akalamba ziro na kweli mkakamatika na kosa basi nchi haitakuwa Salama. Kama hawa wakifnikiwa vipi wenye sifa kama za kwennu toka mataifa mengine si watakuwa wanatujua hadi tunavyolala?
Dhihirisheni ubora wenu
Kwa kifupi bunge hiyo kamati zito anayotaka iundwe kwenda kuwachunguza mashushu itajikuta inajichunguza yenyewe badala ya kuchunguza wanausalama hao.
Kwanza mkumbuke kuwa hawa mashushu sifa kuu ya kuajiriwa ni Lazima uwe na uwezo mkubwa wa kiakili Darasani. Kwa maana hiyo hawa ni mkusanyiko wa wale waliokuwa wanatuongoza darasani ndio maana upatikanaji wao mara nyingi hufanyika kwa kuwatafuta mashuleni tena kwenyenzile Shule bora na za Vipaji.
Hawa ndio mnaotaka kwenda kuwachunguza??? Sifa ya kuwa mbunge ni wewe ujue tu kusoma na kuandika unataka kwenda kumchunguza Shushushu. Kama wamewateka kuliko muende kuwachunguza bora muwaombe msamaha tu wasiwateke tena.
Itakuwa ni ajabu kama Mashushu wetu watakubali kufuatiliwa kirahisi na itaonyesha udhaifu mkubwa sana. Hapa ndipo mnapotakiwa muuonyeshe umma kuwa kweli nyie mlikuwa bora darasani......
Na kama mtachunguzwa na kamati zetu za bunge zenye sample ya wabunge aina ya kina Mbowe walioshindwa kutafsiri maswali ya form six hadi akalamba ziro na kweli mkakamatika na kosa basi nchi haitakuwa Salama. Kama hawa wakifnikiwa vipi wenye sifa kama za kwennu toka mataifa mengine si watakuwa wanatujua hadi tunavyolala?
Dhihirisheni ubora wenu