mtungi wa gesi
Member
- Apr 4, 2019
- 31
- 33
Kwasababu shughuli nyingi za vyama vya Siasa zimesimama kutokana na hili janga la Corona,
Nafikiri Serikali ingezihamisha *fedha za ruzuku kwa vyama vya Siasa* ili zipelekwe wizara ya afya zisaidie kununua vifaa kika na vifaa tiba kwa ajili ya Ugonjwa wa Corona!
Naamini vyama vyote vitaunga mkono kupambana na Ugonjwa huu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri Serikali ingezihamisha *fedha za ruzuku kwa vyama vya Siasa* ili zipelekwe wizara ya afya zisaidie kununua vifaa kika na vifaa tiba kwa ajili ya Ugonjwa wa Corona!
Naamini vyama vyote vitaunga mkono kupambana na Ugonjwa huu!
Sent using Jamii Forums mobile app