Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,408
- 14,554
Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate ameiomba Serikali ipunguze nauli ya daraja la VIP katika treni ya kisasa (SGR) kutoka TSh 150,000 hadi TSh 70,000 ili kuongeza mapato.
Amesema bei ya juu inachangia idadi ndogo ya abiria, akitoa mfano wa behewa linalobeba abiria 40 wakati mwingine husafiri likiwa na abiria 10 hadi 20.
Ametoa ushauri huo leo, Jumatatu Aprili 14, 2025, wakati akichangia hoja bungeni jijini Dodoma.
Amesema bei ya juu inachangia idadi ndogo ya abiria, akitoa mfano wa behewa linalobeba abiria 40 wakati mwingine husafiri likiwa na abiria 10 hadi 20.
Ametoa ushauri huo leo, Jumatatu Aprili 14, 2025, wakati akichangia hoja bungeni jijini Dodoma.