Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Hapo ndio wataalam wetu tutawahitaji watutengenezee mfumo mzuri wa kutowaumiza moja kwa moja wasiotumia barabara kwa shughuli zao za kila siku kwa kuwa hiyo tozo inahusu watumia barabaraSawa lakini kama alivyojibu jamaa kuna mitambo amabayo hutumia mafuta pia na haina uhusiano wowote na barabara