Losomich JF-Expert Member Nov 9, 2011 371 71 Mar 22, 2012 #22 Mkuu wa takukuru atakuwa na bifu fulani na yeye, kwa sababu wote ccm wallitoa rushwa kuanzia mkuu wao bwana tabasamu ovyo mpaka wenyeviti wa vijiji.
Mkuu wa takukuru atakuwa na bifu fulani na yeye, kwa sababu wote ccm wallitoa rushwa kuanzia mkuu wao bwana tabasamu ovyo mpaka wenyeviti wa vijiji.
NICK2275 JF-Expert Member Oct 31, 2010 3,931 918 Mar 22, 2012 #23 bibikuku said: rushwa 2010????? hawa Takukuru wameshuka leo toka mwezini au?????? Click to expand... nazani hakutakiwa apelekwe-sema pressure imekuwa so wameona hawana means nyingine zaidi ya kumpeleka tu
bibikuku said: rushwa 2010????? hawa Takukuru wameshuka leo toka mwezini au?????? Click to expand... nazani hakutakiwa apelekwe-sema pressure imekuwa so wameona hawana means nyingine zaidi ya kumpeleka tu
UmkhontoweSizwe Platinum Member Dec 19, 2008 8,529 7,732 Mar 22, 2012 #24 ​Si wangekipandisha chama chote tu kizimbani? Nani ambaye siyo mla/mtoa rushwa ndani ya ccm?
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,476 39,995 Mar 22, 2012 #25 Mmejiuliza ni nani aliyekuwa mpinzani wake kwenye kura za maoni 2010?
nngu007 JF-Expert Member Aug 2, 2010 15,862 5,797 Mar 23, 2012 #26 Huyu Mtu hata hajulikani Herbert Mtangi Mb Muheza