KENNY ROGERS
Member
- Mar 2, 2012
- 6
- 1
Mbuge wa jimbo la muheza(CCM) leo amehojiwa na Taasisi ya kupambana na rushwa(TAKUKURU)kwa vitendo vyake ya rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2010 .Na anatazamiwa kupandishwa kesho katika mahakama ya Wilaya kujibu tuhuma hizo.