Mh. Mbunge Issa Mtemvu kwanza nakupa pongezi kwa kushinda jimbo hili la kibamba hakika unastahili.
Wananchi wa maeneo ya Kiluvya Gogoni/Hondogo wanakuomba uanze kushughulikia changamoto zifuatazo:
1. Barabara za mitaani zianze kujengwa Kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa DMDP, wananchi wanakumbusha kuna ahadi ya km 111 za lami kutoka DMDP chondechonde maeneo hayo yasikose.
Hiyo ndio changamoto kubwa Kwa wakazi hao ukiifaanikisha utakuwa umejiwekea heahima kubwa Na rekodi isiyo futika.
Kazi inaendelea. Muda ndio huu
Wananchi wa maeneo ya Kiluvya Gogoni/Hondogo wanakuomba uanze kushughulikia changamoto zifuatazo:
1. Barabara za mitaani zianze kujengwa Kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa DMDP, wananchi wanakumbusha kuna ahadi ya km 111 za lami kutoka DMDP chondechonde maeneo hayo yasikose.
Hiyo ndio changamoto kubwa Kwa wakazi hao ukiifaanikisha utakuwa umejiwekea heahima kubwa Na rekodi isiyo futika.
Kazi inaendelea. Muda ndio huu