Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya chama cha CCM Ndg. Issa Mtemvu kwa uchunguzi nilio ufanya ni kwamba wananchi wa jimbo la Kibamba wanakuhitaji sana ili uweze kutatua changamoto zao na endapo utachaguliwa hakikisha unatekeleza au unatatua mambo yafuatayo;
1. Barabara za mitaani ni mbovu sana haswa katika maeneo ya Kiluvya Gogoni, Hondogo n.k. Tafadhali hakikisha mradi wa DMDP unahamia ktk maeneo haya. Wananchi wanapata shida sana wakati wa mvua.
2. Tatizo la umeme kuwa na nguvu ndogo kutokana na uchache wa transfoma, hivyo kupelekea transfoma moja kuelemewa, katika maeneo ya Kiluvya Hondogo,
3. Zahanati/hospitali ya kata/wilaya.
4. Fufua ulinzi shirikishi katika maeneo hayo ili kuimarisha usalama.
5. Hakikisha mradi wa stendi ya mabasi unawanufaisha wakazi wa maeneo hayo na Dar es Salaam kwa ujumla.
6. Kibamba ni eneo la kimkakati kulingana na jografia yake ilivyo kwani ndio lango la jiji hivyo itangaze tupate wawekezaji katika meneo haya ili wananchi wapate maendeleo.
Wananchi wa jimbo la Kibamba walicheleweshwa sana katika maendeleo yao, safari hii hawatofanya makosa.
1. Barabara za mitaani ni mbovu sana haswa katika maeneo ya Kiluvya Gogoni, Hondogo n.k. Tafadhali hakikisha mradi wa DMDP unahamia ktk maeneo haya. Wananchi wanapata shida sana wakati wa mvua.
2. Tatizo la umeme kuwa na nguvu ndogo kutokana na uchache wa transfoma, hivyo kupelekea transfoma moja kuelemewa, katika maeneo ya Kiluvya Hondogo,
3. Zahanati/hospitali ya kata/wilaya.
4. Fufua ulinzi shirikishi katika maeneo hayo ili kuimarisha usalama.
5. Hakikisha mradi wa stendi ya mabasi unawanufaisha wakazi wa maeneo hayo na Dar es Salaam kwa ujumla.
6. Kibamba ni eneo la kimkakati kulingana na jografia yake ilivyo kwani ndio lango la jiji hivyo itangaze tupate wawekezaji katika meneo haya ili wananchi wapate maendeleo.
Wananchi wa jimbo la Kibamba walicheleweshwa sana katika maendeleo yao, safari hii hawatofanya makosa.