Mbuga ya Burigi - Chato

Kitwa-Mulomoni

Njoo ukamate mwizii huku







 
Enyi watu wenye mioyo ya chuki lini mtakaa na kuwaza jinsi gani ya kujikombo? Kabla hamjaanza tokwa na maneno mengi rudia historia kidogo. Ile mbuga ipo miaka mingi sana na ni eneo kubwa sana linatambulika. Azia chato hadi kimisi ipo karagwe nenda hadi kigoma wote ni mstu mkubwa.Miaka ya 94 baada ya wakimbizi wa nchi zajirani kuja benaco ndio na majambazi kuingia kwenye ile misitu wanyama waliama tembo waliuliwa. Na majangiri.
 
Mbuga FAKE ya dikteta na nduli. Haendi mtu huko usweken kapeleka wa nyama ili hotel yake ipate wateja. Pamoja na hirizi zake hotel itapata wateja kiduchu sana kutokana na laana ya Mwenyezi Mungu kuhusu maovu yake mbali mbali.
BURIGI NI MBUGA /HIFADHI ULIYOPANDISHWA DARAJA AWAMJ YA 4 PANAFAA KWA MAMBO YA UTALII LAKINI ILICHELEWESHWA SANA MAANA PORI LILIANZIA SEHEMU YA KWIMBA- MWAMALA LIKALAMBA KAHAMA. BUKOMBE MBOGWE, GEITA,KAKONKO, BIHARAMULO HADI CHATO.. KUCHELEWA KUPANDISHWA DARAJA KULIRAHISISHA MAENEO MENGI KUPOTEZA SIFA.
KWA HIYO BURIGI SIYO ENEO LA KUPUUZA TU KWA KUWA MALI YA MBOWE INAPIGWA MNADA.
 
Narudia tena Mbuga FAKE na haitavutia mtalii yeyote kutoka nje hata katika vivutio vya Watalii vinavyojulikana duniani chato burigi haimo watalii si wajinga wajinga eti muhamishie wanyama huko ili kuwachuuza.

 
Mobutu kenku wa zabanga aliacha MBEGU chafu Africa ya ubinafsi wa kiwango cha SGR.
 
Nahofu kusema "BURIGI NAIFANANISHA NA ZOO KUBWA ILIYOKO PORINI BADALA YA MBUGA!!! NINA HOFU ZAIDI KWAMBA HAITALETA TIJA ILIYOKUSUDIWA KWA KIPINDI KIFUPI..."
NINAJIULIZA "SAADANI NA BURIGI IPI INAWEZA KUPATA WATALII WENGI IKITANGAZWA?" HIVI MBUGA YA "SELUU" KWANINI HAIJULIKANI?
ALIIMBA MSHAIRI "SUKANI SINIKATIKIE, SAFARI NGALIKO MBELE..."
 
 
Kamwe chato haiwezi fanana na kanda ya kaskazini kwa utalii,walii wengine huja kupanda mlima Kilimanjaro Kisha mbuga za Serengeti na ngorongoro baada ya hapo hurudi kwao wengine huenda Zanzibar.
Hawawezi kuja mlima Kilimanjaro wakapita Serengeti ngorongoro waende chato labda hao twiga tuwapake jik watofautiane
 
Vijana wengi hawaijui nchi yao Tanzania vema. Wanajua mijini tu. Geografia ya Tanzania hawaijui! Watabisha sana hawajui kwamba miaka ya 60-80 wanyama walikuwa wanatembea free nchi nzima.
 
 
Kwahiyo vichwani tayari mmeshaingia kwenye mashindano ya Ukanda??
 
Selous haijulikani? wewe unaishi kuzimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…