Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,464
- 37,711
Wewe ni toroli kama jina lako lilivyo, unasema hajaegemea upande wowote wakati hakuna mwana ccm hata mmoja? Ina maana ndani ya ccm hakuna wanaostahili kuacha siasa kama aliowataja? Akili za blue Monday unazihamishia weekend ili uonekane hauko mbali na mawazo ya green mwenzio.Nimependa Ulivyoelezea haujaegemea upande wowote!