Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,775
- 2,202
Hata VP jamani yye si akaokoka hajui ukirimbikizia Mali ni zambi?Siyo wabunge tu, mshahara wa Rais,Makamu, PM na mawaziri, kwa sasa ni kufuru.
Hata VP jamani yye si akaokoka hajui ukirimbikizia Mali ni zambi?Siyo wabunge tu, mshahara wa Rais,Makamu, PM na mawaziri, kwa sasa ni kufuru.
Mkuu kwenye nchi ambayo maji, umeme na sukari ni anasa huwezi kuacha kuwaona watawala wa hiyo nchi hawajitambuiMbona leo umebadilika hivyo? Huna tusi kwa Mbowe kama kawaida yako na yule mwingine Etwege halimtoki neno humu jukwaani isipokuwa tusi kwa Mbowe! Habari ndio hiyo!
Yani unamkata mtu 1500 kwenye ka elfu 5 kake anakonunulia umeme eti kodi ya jengo ili wewe uendelee kuneemeka!Manufaa ya tozo. Hapo lazima fisi wa CCM waliojazana bungeni wasifie tozo za Samia na Mwigulu maana faida yake wanaiona.
Kwa tozo tu za sasa wamepanda mpaka Tsh 26m kwa mwezi (mshahara 18m + posho 8m). Samia akiongeza tozo nyingine, watapanda mpaka angalaoTsh 35m kwa mwezi. Hawa lazima waombe Samia awe Rais wa maisha.
Hii ndiyo maana iliyokusudiwa na Samia kuwa kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
Magufuli hakumtaka ila mafisi ya upande wa msoga yaliyomzidi nguvu. ndio maana alitaka kujiuzuru sababu Magufuli alikuwa hampi ushirikiano wowote.Mlaumu Magufuli aliyempa nafasi ya u VP
2020?Magufuli hakumtaka ila mafisi ya upande wa msoga yaliyomzidi nguvu. ndio maana alitaka kujiuzuru sababu Magufuli alikuwa hampi ushirikiano wowote.
Tatizo ni CcmMkuu kwenye nchi ambayo maji, umeme na sukari ni anasa huwezi kuacha kuwaona watawala wa hiyo nchi hawajitambui
Kutawala watawale chama kingine, matusi watukanwe wengine! Mnyonge anyongwe haki yake apewe.Mkuu kwenye nchi ambayo maji, umeme na sukari ni anasa huwezi kuacha kuwaona watawala wa hiyo nchi hawajitambui
Walisema hata walivyokua ndani,vuta kumbukumbu.Kwa mtu km Mbowe siasa ni utumishi labda km humfahamu vizuriNakumbuka what’s wao walijiongezea posho
Wakiwa nje wanauona San mchezo
Wakiwa ndani… watakwambia kwa ground iz ze difflenti
Tatizo la wadanganyika ni ujinga wa kihalaiki unaotokana na ukosefu wa elimu ya uraiaYaani wao wanajitishia sheria ya mafao..;
1. Wabunge wanapokea mafao kwa 100%
2. Marais wastaafu, mawaziri, makatibu wakuu na wengine - 80%
3. Wake wa ma - Rais, waziri mkuu na makamu wa Rais - 60%
4. Lakini watumishi wavuja jasho wa kada za chini kama walimu, manesi, madaktari nk. kikokotoo cha mafao - 33.3%..!!!
Hii haiko sawa.
Ni lazima tupambane na hawa hawayani. Ni lazima tugawane keki ya taifa kwa usawa!!!
Mwananchi gani anaweza kubadilisha mshahara wa mbunge?
Brother, hilo halitokuja kutokea hadi kiama. Hakuna jambo gumu kama kufanya mambo kwa pamoja (ujamaa) na ndio sababu ujamaa wa mwalimu Nyerere ulifeli.Mwananchi mmoja mmoja hawezi. Lakini wananchi katika umoja wao, wana uwezo wa kuzuia mambo yote ya hovyo, wakiamua.
Hebu tupe mikakati mkuu.Yaani wao wanajitishia sheria ya mafao..;
1. Wabunge wanapokea mafao kwa 100%
2. Marais wastaafu, mawaziri, makatibu wakuu na wengine - 80%
3. Wake wa ma - Rais, waziri mkuu na makamu wa Rais - 60%
4. Lakini watumishi wavuja jasho wa kada za chini kama walimu, manesi, madaktari nk. kikokotoo cha mafao - 33.3%..!!!
Hii haiko sawa.
Ni lazima tupambane na hawa hawayani. Ni lazima tugawane keki ya taifa kwa usawa!!!
Pole sana mkuu..kama kupambana kupata maslahi mazuri imekuwa ngumu..pambana hata usingizi usikose..kunywa hata valium 5. Pole sana mkuu.
Huwezi kusubiri kiinua mgongo cha milioni 120 baada ya kuitumikia Nchi miaka 30 wakati Kuna mwenzio anachukua hiyo hela baada ya miaka 5 mitano Tena yeye anabeba milioni 300 at once 🙌😆😆😆😆😆😆