Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

Manufaa ya tozo. Hapo lazima fisi wa CCM waliojazana bungeni wasifie tozo za Samia na Mwigulu maana faida yake wanaiona.

Kwa tozo tu za sasa wamepanda mpaka Tsh 26m kwa mwezi (mshahara 18m + posho 8m). Samia akiongeza tozo nyingine, watapanda mpaka angalaoTsh 35m kwa mwezi. Hawa lazima waombe Samia awe Rais wa maisha.

Hii ndiyo maana iliyokusudiwa na Samia kuwa kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
Yani unamkata mtu 1500 kwenye ka elfu 5 kake anakonunulia umeme eti kodi ya jengo ili wewe uendelee kuneemeka!
 
Mkuu kwenye nchi ambayo maji, umeme na sukari ni anasa huwezi kuacha kuwaona watawala wa hiyo nchi hawajitambui
Kutawala watawale chama kingine, matusi watukanwe wengine! Mnyonge anyongwe haki yake apewe.
 
Yaani wao wanajitishia sheria ya mafao..;

1. Wabunge wanapokea mafao kwa 100%

2. Marais wastaafu, mawaziri, makatibu wakuu na wengine - 80%

3. Wake wa ma - Rais, waziri mkuu na makamu wa Rais - 60%

4. Lakini watumishi wavuja jasho wa kada za chini kama walimu, manesi, madaktari nk. kikokotoo cha mafao - 33.3%..!!!

Hii haiko sawa.

Ni lazima tupambane na hawa hawayani. Ni lazima tugawane keki ya taifa kwa usawa!!!
 
Nakumbuka what’s wao walijiongezea posho

Wakiwa nje wanauona San mchezo

Wakiwa ndani… watakwambia kwa ground iz ze difflenti
Walisema hata walivyokua ndani,vuta kumbukumbu.Kwa mtu km Mbowe siasa ni utumishi labda km humfahamu vizuri
 
Yaani wao wanajitishia sheria ya mafao..;

1. Wabunge wanapokea mafao kwa 100%

2. Marais wastaafu, mawaziri, makatibu wakuu na wengine - 80%

3. Wake wa ma - Rais, waziri mkuu na makamu wa Rais - 60%

4. Lakini watumishi wavuja jasho wa kada za chini kama walimu, manesi, madaktari nk. kikokotoo cha mafao - 33.3%..!!!

Hii haiko sawa.

Ni lazima tupambane na hawa hawayani. Ni lazima tugawane keki ya taifa kwa usawa!!!
Tatizo la wadanganyika ni ujinga wa kihalaiki unaotokana na ukosefu wa elimu ya uraia
 
Mwananchi mmoja mmoja hawezi. Lakini wananchi katika umoja wao, wana uwezo wa kuzuia mambo yote ya hovyo, wakiamua.
Brother, hilo halitokuja kutokea hadi kiama. Hakuna jambo gumu kama kufanya mambo kwa pamoja (ujamaa) na ndio sababu ujamaa wa mwalimu Nyerere ulifeli.

Hata kwenye hustle zako usije ukalogwa / kujidanganya ukafanya biashara ya ubia utaangukia pua
 
Hii nchi kuelimisha watu nikazi sana!! Tunamajinga mengi kazi kusifuu mamaaa mamaa kila mahali!
Kenya uchumi unakuwa Kwa kasiii wanasifiwa kimataifa lkn wananchi wanamzingua Ruto kamakawa maana kunaviwango haeafiki...
Hii nchi likijengwa daraja nimakelele kilakonaa utadhani serikali au rais anajenga kwahisani kumbe nipesa zetu!!.
Watu waache upumbafu
 
Yaani wao wanajitishia sheria ya mafao..;

1. Wabunge wanapokea mafao kwa 100%

2. Marais wastaafu, mawaziri, makatibu wakuu na wengine - 80%

3. Wake wa ma - Rais, waziri mkuu na makamu wa Rais - 60%

4. Lakini watumishi wavuja jasho wa kada za chini kama walimu, manesi, madaktari nk. kikokotoo cha mafao - 33.3%..!!!

Hii haiko sawa.

Ni lazima tupambane na hawa hawayani. Ni lazima tugawane keki ya taifa kwa usawa!!!
Hebu tupe mikakati mkuu.
 
Back
Top Bottom