Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,808
- 110,039
Umeshasema ni wapinzani, hakuna aliyewahi kuja na ushahidi unaojitosheleza kuwa kura ziliibiwa, wengi wao ni porojo tu baada ya kukataliwa na wananchi.
Mbaazi zikikosa maua, husingizia jua...
Sasa wale vijana wa udukuzi ambao hukusanywa na chama nyakati za uchaguzi mkuu huwa wanatumika kufanyaje kama si uchakachuzi kaka?