Mbowe: Tunazuiwa kutembelea matawi ya CHADEMA

Mbowe: Tunazuiwa kutembelea matawi ya CHADEMA

Mbowe aache upuuzi abadili aina ya siasa za upinzani hapa nchini.

Siasa za kiki hazitusaidii kama Taifa.
Akubali amepwaya, siasa za huruma na kusumbuana na Polisi zilishapitwa na wakati.

Watanzania tunahitahiji hoja za kitaifa sio kuzurura vijiweni ilimradi kuhalalisha matumizi ya ruzuku ya Chama.
Nimekupa tuzo ya post of the day
 
Akirudi watakaa na masinz wanaandikiana cheque ya 40m kuwa wamefanya shughuli ya chama , ndo kazi ya right RUZUKU kwa sasa
 
Matawi gani jumapili mwanza Kama sio kutafuta media coverage za bure. Mbona hukwenda kumtambulisha mashinji ulipomchagua kuwa Katibu mkuu hapo ungeonekana WA maana. Watu WA mwanza kuweni makini fujo za Arusha wanataka kuziamishia mwanza. Semeni hapana apeleke fujo zake Hai
Jiite mwanza- Mami! Usituchafulie jina letu zuri la Tarime hatuna wajinga kama w..........e
Matawi gani jumapili mwanza Kama sio kutafuta media coverage za bure. Mbona hukwenda kumtambulisha mashinji ulipomchagua kuwa Katibu mkuu hapo ungeonekana WA maana. Watu WA mwanza kuweni makini fujo za Arusha wanataka kuziamishia mwanza. Semeni hapana apeleke fujo zake Hai
 
Huyu Mbowe si ndo yule mbunge wa Hai? Au nimekosea? Wakati huu wa bunge anarukaruka vijiweni Mz anatafuta nini? Arudi bungeni awawakilishe wananchi wa Hai. Hawakumtuma vijiweni Mz.
 
Akirudi watakaa na masinz wanaandikiana cheque ya 40m kuwa wamefanya shughuli ya chama , ndo kazi ya right RUZUKU kwa sasa
Kwani Masizi anaaminika kikweli mpaka apate mshiko? Sidhani, anaweza kuishia kusaini tu na akaambiwa, aendelee kujitolea kama vijana wengine kwani bado wanajenga chama.!
 
Upinzani msipokuwa makini mtapotea.
Maana Mbowe leo anasema anazuiwa kutembelea matawi same day twaambiwa Zitto hajulikani alipo.
Yangu macho maana naona kama namna ya nitoke vip?kivingine
 
Akihojiwa na ITV mwenyekiti wa chadema amesema kwamba sasa serikali inawazuia kutembelea matawi ya chama
****tunaelekea wapi​
Kilicho baki ni serikali, kuanza kuwauwa viongozi wa upinzani, na hii haipo mbali sana. lazima wapinzani waelewe, kifo kipo mbele yao. Hii ni serikali ya kidikteta.
 
Chama kina haki ya kimsingi kutembelea matawi
 
Akihojiwa na ITV mwenyekiti wa chadema amesema kwamba sasa serikali inawazuia kutembelea matawi ya chama
****tunaelekea wapi​
Mkuu neno lililokuwa censored apo ni lipi. Nitashangaa sana likiwa ni CDM
 
Akihojiwa na ITV mwenyekiti wa chadema amesema kwamba sasa serikali inawazuia kutembelea matawi ya chama
****tunaelekea wapi​
Why now?????Siku zote alikuwa wapi???Hii ni janja tu wameamua kutumia kufanya mikusanyiko yao ya kisiasa na kufikisha walichokua wanataka kufikisha Mwanzo kwa wananchi......
 
Siasa haina muda wal
Why now?????Siku zote alikuwa wapi???Hii ni janja tu wameamua kutumia kufanya mikusanyiko yao ya kisiasa na kufikisha walichokua wanataka kufikisha Mwanzo kwa wananchi......
Siasa haina muda wala msimu
 
Mbowe aache upuuzi abadili aina ya siasa za upinzani hapa nchini.

Siasa za kiki hazitusaidii kama Taifa.
Akubali amepwaya, siasa za huruma na kusumbuana na Polisi zilishapitwa na wakati.

Watanzania tunahitahiji hoja za kitaifa sio kuzurura vijiweni ilimradi kuhalalisha matumizi ya ruzuku ya Chama.
Tatizo lako ni ujinga....

You are consumed by ignorance huezi kuona chochote...

Unless Mshumbusi ameongea...
 
Back
Top Bottom