Mbowe: Tunazuiwa kutembelea matawi ya CHADEMA

Mbowe: Tunazuiwa kutembelea matawi ya CHADEMA

Hatuwezi kuendelea kuvumilia tena huu uonevu unaoendelea.
 
Kuna siku watazuiwa kwenda makao makuu ya chama..
 
Hapa kazi tu. mlichezea sana masharubu ya Kikwete. Amekuja mkali. Na mtakoma
utawala huu mwisho wake viongozi wake wanajificha kwenye mitalo huku wakichomekwa majiti makalioni kama dunia ilivyoshuhudia mara nyingi kwa watu wanamna ya utawala huu ambao wanapachikana kimakabila na kupiga mapambio
 
Hapa kazi tu. mlichezea sana masharubu ya Kikwete. Amekuja mkali. Na mtakoma
huna adabu baada ya mwana wa kikwete kukupakata ukapata ujiko sasa una mnanga hamfiki mballi wewe ndio utaisha maisha yako yote na yule anayechapia kizungu ndio atazimika kabisa maana hawezi kuongoza nchi imemshinda serikali ikikamatwa nitagawa bure mpaka leo kagawa mikono yake
 
Unajiabisha sana! Kwani kutembelea matawi ya chama kuna siku zilizo maalum?
 
Akihojiwa na ITV mwenyekiti wa chadema amesema kwamba sasa serikali inawazuia kutembelea matawi ya chama
****tunaelekea wapi​
Nasikitika chama kimekuwa ni chakudekadeka sasa..zamani hakikuwa hivi..
 
Kuna sheria inayo mzuia kuvitembelea vijiwe vya chama chake?
 
Back
Top Bottom