Je wajua weme 1990 ilikua na umli ganiMnamo January mosi mwaka 1990. Pound moja ya uingereza GBP £ ilikua sawa na Shilingi 300 za Tanzania Tshs.
Je wajua thamani ya pound moja ya uingereza kwa shilingi ya kitanzania leo.
Haya ya Wema Sepetu, haya ya Steve Nyerere wala hayatorudisha thamani ya Shilingi yetu.
Tuyapuuze, tufanye kazi, tuinue uchumi wetu.View attachment 474256
Hv si magufuli ndo alisema tufanye kazi...sasa cjui kama na hz n kaz kwel....Naona ni serikali ya mashindano maana kukicha ni mahakamani ripoti kituoni sasa hizo kazi za maendeleo zitafanyika lini na miaka ndiyo inakatika
Utafutwa tu kama zitakuwa ni porojo ili urudi hukohuko ulikotoa jina unalotumia humu ndaniMsanii Steven Mengele aka Steve Nyerere ataongea na Waandishi leo saa 4 asubuhi katika ukumbi wa hotel ya SeaShells uliopo jengo la zamani la Millenium Tower Kijitonyama. Moja ya mambo anayotaka kufafanua ni pamoja na tuhuma za uhusika wake katika audio iliyotapakaa kuhusu maongezi yake na kada mpya wa Chadema mamake Wema Sepetu,audio ambayo imeibua gumzo jijini hasa kwakuwa ilihusisha kutaja watu mashuhuri na maarufu. KUBWA jingine ni pamoja na kumruka kimanga Wema Sepetu kuwa wao Wasanii haiwadai CCM na kama Wema kaenda Chadema aende tu asisingizie kutolipwa deni kiporo cha deni la uchaguzi. Tega sikio.
(NB Mods ni kawaida yenu kuondoa kila uzi ninaoleta humu hadi najiona mnyonge kuhisi huenda JF sio yangu ina wenyewe acheni watu walete maoni tofauti kwa jambo hili.)
Kuna miaka 16 imepita tangu paundi moja iwe 300 kwa Tzs.
Katika hiyo miaka 16 wenzetu hawakuletewa kitu kinaitwa SAP.
.
.
.
Ushanikera
WordUnapolaumu JF laumu na serikali inayotaka kuizima na kupoteza JF