Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.
Jamani Kama ni habari za uongo Dk Slaa siatakanusha.
Jamani Kama ni habari za uongo Dk Slaa siatakanusha.
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.
Waandike uongo kwa makusudi ili baadae wapoteze muda wa watu makini kukanusha. Ndiyo strategy mpya iliyoko mtamboni?
Chonganisha Mbowe na Slaa, tapeli wajumbe wa mikutano kwa kuwasainisha fomu 'feki' mkidanganya zimetoka Makao Makuu ya Chama, chonganisha wajumbe, chonganisha wanachama na chama chao, chonganisha, chonganisha, sema uongo, sambaza uongo...ndiyo strategy iliyoko mtamboni?
Hii ya kuwachonganisha Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake mbona haijaanza leo, bado mnahisi inaweza kufanikiwa na kuzaa matunda?
Ndani ya CHADEMA msingi wa masuala yote ni Katiba, Kanuni, taratibu, maadili na miongozo. Si mtu. Kama watu wanaamini hawajavunja misingi ya CHADEMA wasiwasi wote huu unatoka wapi hadi kuzusha maneno ya uongo mkavu kama huu.
Hakuna kitu kama hicho. Labda kama hata walioandika hawajui maana ya 'maamuzi ya kikao'...
Zitto anawachanganya akili zao, usiku kucha wana waza kuhusu zitto..