Na bado.Atawaliza wale wanaodhani ni mwenzao.Mwenye macho haambiwi tazama.Najaribu kumwangalia mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe si yule mMowe tuliomzoea, Mbowe amepoteza kujiamini, inaonyesha kuna kitu kikubwa kinasumbua na kitu hicho si kingine ni ile ahadi ya Mbowe CHADEMA kushika dola,
Mbowe amekua muoga kiasi ana wasiwasi kwa wafuasi wake wanataka kujua ni faida gani waliopata mpaka sasa kwa ujio wa Lowassa kiasi kwamba hata kama Lowassa asingejiunga mafanikio hayo wangeyapata tu.
Ujio wa Nyalandu bado nafsi inamsuta, Mbowe hailezi kwanini chini ya uongozi wake chama kimedumaa japo kimepata pesa nyingi lakini hazisaidii chama,
chama kimepata majina ya mafisadi maarufu lakini bado umaarufu wao hausaidii chama.
Mbowe leo hii amebaki na sababu isiyo na mashiko ya Rais Magufuli ni dikteta, mpaka leo hii Mbowe ameshatoa matamko kama mia ya kuishutumu serikali lakini Mbowe huyu hajaguswa wala kukamatwa.
Dikteta gani anaweza kukuacha tu, kuitwa polisi ukaenda kuhojiwa na kutoka huko si kukamatwa, anawadanganya wafuasi watiifu wadai haki, haki gani asiyo kuwa nayo Mbowe gari ya serikali alikwenda nayo mpaka nairobi kwa shughuli za chama na binafsi lakini serikali kimya.
Nafikiri imetosha serikali imuonyeshe mpera mpera wa siku moja tu ili ajue kama yupo huru, kuku wa kizungu hata ukimuacha huru atajihisi ayupo huru, punda haendi bila viboko.
Kampeni za nini ilihali madiwani washanunuliwa na CCM
Washaelekea kibla na hii ndio kabali yao!Jemedari ameshaloose confidence, kichobaki yeye na kikosi chake wanasubiri kuwa mateka.
Mlivyokuwa mnawataja mafisadi kwenye "list of shame" uliona sahihi? Au ulikiwa hata hujaota meno, funza brainEmpty kuliko wewe, no one shalll be condemed guilt until proved by compitent court. We ropo ropo unajua hilo..
Dola wanayo CDM?! Mbona mnaumia na ilhali tuna mahakama ya mafisadi?! Jaribuni muone kama kombora halitaiangukia nyumba yenu wenyewe LumumbaKwahiyo mlivyokuwa mnawaita mafisadi kipindikile walikuwa na kesi yoyote? Empty brains!
Ya nini mpoteze nguvu na pesa ya chama na muda si mrefu kasi ya magufuli itawapeleka ccm!Mbowe anayesemwa kapooza na ni muoga na hawa mavuvuzela jana aliuwasha moto akifungua kampeni Saranga.
Alihoji bl 10 za mauzo ya chama akapotezwa!Muulize kwanza Dr wa utomvu wa korosho maana uko jirani naye, huyu anajua vizuri wanaopotea kama Saanane wanapelekwa wapi.
mmejaza mafisadi pesa kila mara mnaweweseka na pesa!Hata kama ni kulipwa, Polepole hawezi kuidhinisha malipo katika upuuzi kama huu!
Hata hakueleweka pale alikua anaongea lugha ganiumeifafanua mwenyewe au amekufafanulia zitto!
Unataka kumtukana rais matusi ya nguoni ,unataka kuhutubia mpaka saa moja usiku we nani usikamatwe tii sheria bila shurti!Mpuuzi wewe, akina Cecil Mwambe, Ester wote wawili, Heche, Lema, Msigwa, Lijua Likali etc wamekamatwa kwenye majimbo yao wakifanya mikutano na wapiga kura wao. Hapo utasemaje bwege wewe.
Mbowe kama si tishio na Chama chake!! Bunduki na marufuku za nini?! Huyo anayejitahidi kupiga siasa pekee yake mbona ndiyo hajiamini!!
Kama mwenyeji wake alimuelewa inatosha alikua akiongea na waganda kizungu masaa 24 si nyinyi huku udaku masaa 24 hamuwezi muelewa!Hata hakueleweka pale alikua anaongea lugha gani
Mwambieni ras simba kasema usipojua anakurudishia pesa kama anaogopa kisa serikali inabana matumizi
Matusi ya nguoni ni yapi hayo?Unataka kumtukana rais matusi ya nguoni ,
Na kuhutubia mpaka saa moja usiku, kwanini usikamatwe!Matusi ya nguoni ni yapi hayo?
Washika bunduki nyiemmepoteza matumaini kabisa!
Hayo ya kuhutubia mpaka saa moja usiku sijayaulizia. Mimi nataka kujua hayo matusi ya nguoni na mtaje ni nani aliyatamka na akiwa wapi!Na kuhutubia mpaka saa moja usiku, kwanini usikamatwe!
Mmmmmhhhh huo uongo kama ni Mbowe ndo anawapoteza serikali inashindwaje kumkamata.Hatari kubwa wasaidizi wakihoji wanapotezwa kwa kuisingizia serikali!
Nakubaliana na wee mkuu,, mikiki anayopata mbowe kama si jasiri angekua kama bwana yule au akina momose.Mku Mimi ni mwanaccm nisiyepepesa macho juu ya ukweli tusilishane Nyama ya Kasa mwenye sumu. Mbowe ndio mwenyekiti bora Tanzania na hilo halipingiki ndo maana yaliandaliwa majaribio mengi juu yake mwisho tuliuona pale Msajili aliyekuwa anasimamia hilo jaribio alikosa mvuto baada ya kususwa na Chadema ikabidi JK amwondoe ktk nafasi ile.
Mbowe ni mwanasiasa mahiri asiyeyumbishwa na siasa ambazo aliyevaa hawezi kuzishiriki kwani ni faida ya muda mfupi kwa wachache walioko nyuma ya hili zoezi la kutugawa
Alitambulishwa kingunge na maisha yanaendelea mpaka leo hii!Leo mtu anatambulishwa Mtwara huko, naona hamtulii.