Dawa ya Deni kulipaHabari zenu wakuu,
Leo Gazeti la Tanzania Daima kuna habari isemayo kuwa, Mbowe aendelea kusisitiza kuwa hadaiwi senti yoyote na NHC.
Habari hiyo imeandikwa kwa maandishi yenye rangi nyekundu kuonesha msisitizo nadhani. Maana habari nyingine zote zimeandikwa kwa rangi nyeusi.
Siyo kitambo sana tangu Mahakama izuie NHC kupiga mnada mali za Mbowe hadi hapo Kesi ya msingi itakapotatuliwa.
Najiuliza tu, ilikuaje NHC ikamwacha Mbowe muda mrefu hivyo bila kulipa kodi?? Kwa mawazo yenu wadau mnaonaje hili suala? Mkipanga logic zenu, kuna angalau Mantiki yoyote inayokuja kwamba Mbowe anadaiwa kweli?
Nawasilisha..
Hapa tunamuongelea mbowe.
Huwezi ukaja public kupayuka kuwa hudaiwi eti tu kunafulani anadaiwa.
Mbowe alipe deni kodi yetu iende ikafanye miradi ya maendeleo.
Aache utapeli. Utapeli umepitwa na wakati.
Mbowe na NHC wana mkataba.NHC wamekiuka mkataba.Wakati tunasubiri hukumu ya mahakama nashauri na wizara zenye madeni sugu zitupiwe vitu nje na tuanza na wizara ya Nape.Hapa tunamuongelea mbowe.
Huwezi ukaja public kupayuka kuwa hudaiwi eti tu kunafulani anadaiwa.
Mbowe alipe deni kodi yetu iende ikafanye miradi ya maendeleo.
Aache utapeli. Utapeli umepitwa na wakati.
Sasa kama mnasubiri hukumu mahakamani. Kwanini mnapayuka payuka na huyo mbowe wako kusema hamdaiwi?Mbowe na NHC wana mkataba.NHC wamekiuka mkataba.Wakati tunasubiri hukumu ya mahakama nashauri na wizara zenye madeni sugu zitupiwe vitu nje na tuanza na wizara ya Nape.
Kwahiyo hiyo escrow ndiyo inampa uhalali mbowe kutapeli na kuibia NHC?Ungekuwa unadai yale mabilion ya escrow.epa. nk ivyoo ungekuta inchi iko mbali.
Mabilion Hudai unaweka mkia mtakoni kabilion kakupandikizwa ndo unakashadadia. Utakuwa huna akili kama mwenyekiti wako.
Akishinda Kesi ile Propaganda kuwa Mahakama hazipo huru au kuna Udikteta wa kuingilia uhuru wa Mahakama haitokuwepo!Mbowe atashinda kesi na itakuwa kashfa kubwa sana kwa CCM.
Kama maendeleo yenyewe ndio kujenga uwanja wa ndege chato endeleeni kulipa kwa bidii, kwenu pakavu kwa mwenzenu mwajaza mchuzi.Hapa tunamuongelea mbowe.
Huwezi ukaja public kupayuka kuwa hudaiwi eti tu kunafulani anadaiwa.
Mbowe alipe deni kodi yetu iende ikafanye miradi ya maendeleo.
Aache utapeli. Utapeli umepitwa na wakati.
Kwan ccm ndio NHC?watu mpo kibifu sana aiseeMbowe atashinda kesi na itakuwa kashfa kubwa sana kwa CCM.
Hapo sasa. .hahahaGazeti lake unategemea liandike tofauti?
Ndugu.....kinachoumiza ni pale serikali inapotumia taasis zake za umma kudhoofisha vyama vya upinzani.Ifike mahali watu washindane kwa hoja na sio vinginevyo.Sasa kama mnasubiri hukumu mahakamani. Kwanini mnapayuka payuka na huyo mbowe wako kusema hamdaiwi?
Ache kabisa cheap popularity alivyoviimba vinamtosha. Sisi tunataka alipe deni analodaiwa aache kubwabwaja.
Wewe fanya yako sisi tunafanya yetu. Ila mbowe aache utapeli.Kama maendeleo yenyewe ndio kujenga uwanja wa ndege chato endeleeni kulipa kwa bidii, kwenu pakavu kwa mwenzenu mwajaza mchuzi.
Mimi nanunua sarawili kumi za jinzi kunitosha miaka mitano, kipindi hiki nalima mahindi ya kunitosha mimi tu!!
Siwezi kulipa kodi huku nasimangwa kama mtumwa.