Hawa CHADEMA hawapaswi hata kufananishwa na UVCCM, maana UVCCM ina ofisi zake yenyewe na pia ina miradi yake ya kuweza kuendesha jumuiya hiyo (ukiachana na michango ya uanachama), lakini CHADEMA kwanza jengo mpaka leo wamepanga (ni nyumba ya shemeji yake Mbowe hivyo unajua kwanini hataki kutoka) lakini pili chama hakina miradi halali, mradi wa CDM ndio huo M4C wanaufanya kwa siri nzito.
Hivi ni lazima mimi ndio niseme ya Kikwete? wewe kama una ushahidi na hayo uliyo yasema na umeona kuna haja ya kuyawasilisha hapa jamvini, basi jenga hoja yako na uilete hapa.
Kama yote uyasemayo ni makosa ILA serikali haijayapa uzito, huoni unamdhalilisha mwenyekiti wako kwamba hana uwezo wa kushughulikia uhalifu?chadema kimejaa viongozi limbukeni yasiyojua hata maana ya uongozi uongozi katibu mkuu anazoazoa wanawake tu mbowe kazi kuuwa watu tu na ujambazi.
Hawa CHADEMA hawapaswi hata kufananishwa na UVCCM, maana UVCCM ina ofisi zake yenyewe na pia ina miradi yake ya kuweza kuendesha jumuiya hiyo (ukiachana na michango ya uanachama), lakini CHADEMA kwanza jengo mpaka leo wamepanga (ni nyumba ya shemeji yake Mbowe hivyo unajua kwanini hataki kutoka) lakini pili chama hakina miradi halali, mradi wa CDM ndio huo M4C wanaufanya kwa siri nzito.
Ukiambiwa utoe ushahidi wa haya unaweza?Kwanini unapenda kufanya hisia na wamiliki wa JF?Unatokea upande wa Wilson Mkama au Nape?
Pia familia ya panya iko ccm kuanzia babu hadi kilembwe wote ni wezi, hii ndio sifa ya kupata uongozi ccm
Mbowe hujifanya mwema lakini katika hali ya kawaida mbowe ni fisadi wa ajabu kuliko hata ndesambulo.