- Thread starter
- #141
mbona fast jet anatumia gar za serikali kwa shughuli kichama?acha kuwa na fikra finyu... nafikuri jf ni kwa ajili ya kujadili mambo ya msingi kwa maendeleo ya Taifa.
Kwahiyo kama JK kafanya ndio na Mbowe afanye?
Eti wewe nae ni mjumbe JF?
Watu kama wewe hamstahili hata kuwa wasomaji tu