Mbowe pisha damu mpya

Mbowe pisha damu mpya

Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Awapishe wenye damu zenye virusi ?
 
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Kama wanaweza kupambana na huu udikteta sawa ila nina mashaka.
 
Nadhani damu mpya anzisha chama kipya. Hiki chama kinakufa watapoteza muda kuhombea kwenye chama mfu.
 
Haya sasa mliokuwa mnamtetea sababu ya ukabila nadhani mmeyaona.
 
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Mbowe hawezi kukusikia mkuu, ukizubaa ata Ku chacha wangwe!
 
Back
Top Bottom