Mbowe pisha damu mpya

Mbowe pisha damu mpya

Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Damu ya Mbowe ni zamani sana?
 
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Mbowe Mbowe Kamanda ndio Chaguo la wanachadema
 
Mbowe bado yupo yupo sana cdm kama hutaki kajinyonge
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
 
Kwanza shukuruni Mbowe ametumia busara mara kadhaa kuwazuia wanachama na wanaounga mkono upinzani kuingia mtaani, vinginevyo angekuwa ni Heche au Boni au Lema, mambo yangekuwa tofauti sana.
 
Ona huyu kilichomkuta
tapatalk_1574414219590.jpeg
 
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana

Unaonaje useme pia, CCM ipishe damu mpya ya vyama vingine kuongoza nchi?

Ndiyo, tangu mwaka 1961 (wakati huo wakiitwa TANU) hadi nwaka 1977 walipojibatiza jina jipya la "CCM" ni miaka 58 sasa..., ni mzee huyu, right?

Lakini Mbowe is just 10yrs old bado Mtoto kabisa ukilinganisha na huyu wa CCM 58yrs old in power...!!

Well, I know, ulivyo mfinyu wa ufahamu na fikra, utasema CCM huchaguliwa na watu kuongoza kwa miaka yote hiyo...!!

Sasa kama ndivyo unavyoweza ku - argue na kujitetea, swali kwako linakuwa ni hili;

Huyu Mbowe wa CHADEMA wa miaka 10 tu, hujipitisha mwenyewe kwani?

Je, siyo kwamba wenye chama wenyewe (wanachama) humchagua wao kwa taratibu zao walizojiwekea kuwaongoza?

Hii inatuhusu nini sisi wengine tusio husika huko?

Let it be, acha wachaguene. Akiwa M/kiti kwa miaka 58 kama CCM kuna jinai hapo????
 
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Bro Masamila kiatu usichokivaa chakuuma nini? Shughulika na matatizo yenu ya Lumumba, mnaoendeshwa kama gari bovu la mkaa lililokatika sent a bolt! Tuachie Mbowe wetu! Hangaikeni na huyo wa kwenu!
 
Iwapo chadema wataamua kwa makusudi kabisa kumfanya Mbowe kuwa Mwenyekiti wa maisha wa chama, basi watakuwa hawana tofauti kabisa na Cuf ya Lipumba, TLP ya Mrema, UDP ya Cheyo, nk.

Na yenyewe itageuka kuwa Chadema ya Mbowe!
 
Maccm mbona mnateseka sana Mbowe kuwa mweyekiti? Kwa taarifa yenu tunamchagua tena mvimbe hadi
mpasuke nguruwe nyie
 
Unaonaje useme pia, CCM ipishe damu mpya ya vyama vingine kuongoza nchi?

Ndiyo, tangu mwaka 1961 (wakati huo wakiitwa TANU) hadi nwaka 1977 walipojibatiza jina jipya la "CCM" ni miaka 58 sasa..., ni mzee huyu, right?

Lakini Mbowe is just 10yrs old bado Mtoto kabisa ukilinganisha na huyu wa CCM 58yrs old in power...!!

Well, I know, ulivyo mfinyu wa ufahamu na fikra, utasema CCM huchaguliwa na watu kuongoza kwa miaka yote hiyo...!!

Sasa kama ndivyo unavyoweza ku - argue na kujitetea, swali kwako linakuwa ni hili;

Huyu Mbowe wa CHADEMA wa miaka 10 tu, hujipitisha mwenyewe kwani?

Je, siyo kwamba wenye chama wenyewe (wanachama) humchagua wao kwa taratibu zao walizojiwekea kuwaongoza?

Hii inatuhusu nini sisi wengine tusio husika huko?

Let it be, acha wachaguene. Akiwa M/kiti kwa miaka 58 kama CCM kuna jinai hapo????
Ujumbe umefika, nashangaa tu wanajitekenya na kucheka wenyewe, Umri wao hawauoni wanashadadia tu wa wengine
 
Iwapo chadema wataamua kwa makusudi kabisa kumfanya Mbowe kuwa Mwenyekiti wa maisha wa chama, basi watakuwa hawana tofauti kabisa na Cuf ya Lipumba, TLP ya Mrema, UDP ya Cheyo, nk.

Na yenyewe itageuka kuwa Chadema ya Mbowe!
Kwani inakuuma ikiwa hivyo??? wameshaamua kumpa.
 
Kwani inakuuma ikiwa hivyo??? wameshaamua kumpa.

Yaani kutoka kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, makamanda mnataka kiwe Chama cha Mbowe! Awe Mwenyekiti wa maisha!

Yaani hamuwaamini Makamanda wengine kuwavusha kutoka hapo mlipo!! Mbonana hazina kubwa sana!! Mna John Heche, Boniface Jacob,nk.

Hamuoni mtakuja kuleta mgawanyiko usio wa lazima siku za usoni kwa kitendo chenu cha kutaka kumfanya Kamanda Mbowe kuwa Nkurunzinza!!!
 
Miaka zaidi ya 10 uliyokuwepo kwenye kiti inatosha pisha damu mpya kuja kuleta ari mpya kasi mwenendo utaofaa kwa maslahi ya upinzani Tanzania

Wapo wanaoweza kuuvusha upinzani vizuri tu kuna Meya Jacob Boniface yupo vizuri sana
Damu mpya itamwaga damu.Bora abaki ili kushikilia amani yetu,ni heri shetani uliyemzoea,mwingine atokubali kuonea wafuasi wake watamwagika mtaani kuwashamoto
 
Back
Top Bottom