Mbowe: Nipo tayari kuondoka CHADEMA...

Mbowe: Nipo tayari kuondoka CHADEMA...

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema nipo tayari kuondoka CHADEMA ikiwa wanainchi hawatapata haki zao.

Source: Gazeti la Majira.

Mbowe ameonyesha commitment ya hali ya juu.Ni kiongozi makini hana mfano.
 
tunapochambua mantiki tunataka kujua context nzima kwa ujumla wake,hauwezi ukadeal na phrase kwenye speech nzima ..sawa?
 
nafikiri Mbowe anaamini yuko CDM ili kutetea hak za watz mpaka hapo akibadili mtzamo wa utetezi labda ndo anaweza kuquit
 
Haha..mkuu, nzuri sana hii..mara nyingi nashangaa sana kuona humu jamvini...wale Pro-CHADEMA kuanzisha sana thread abt CCM, na wale CCM pros' kuanzisha thread kuhusu CHADEMA!!How abt they switch places!?
Anyway kila mtu anatoa maoni atakavyo bwana!.....

Hiyo ndiyo hali halisi siku hizi mkristo kuubiri dini yake kwa kutumia korani na mwisilamu alikadhalika anaubiri na biblia mkononi ni ngumu kuielewa mantiki yao.
 
sasa mkuu we iyo habari imekupagawisha vp yani????
 
Anajua yeye hafahamiki kama Slaa, Slaa mtu wa watu na X-factor yake. Wengine Chadema hawaingii ndani. Anajua hatachaguliwa kugombea uraisi akiwa Chadema ndo anatafuta vishawishi.

Duh huyu kachoka kweli kigeugeu hatakiwi kwenye chama chochote akiwa ni mwoga na kutishia. Aende zake
 
Cheza na Slaa na Josefina!

Kazi kweli kweli mwanaume akiwa m'mbea. Sasa Slaa na Josefina wamefanyaje?

Tafakari Zoba, acha kukurupuka. Mbowe amesema ikiwa CDM itakengeuka na kuwageuka wananchi yeye hatokengeuka nayo bali ataiacha. Kukurupuka kwako ni sawa na mwanamke wa kiswahili aonapo maneno kwenye kanga ya jirani yake, basi anayahusisha moja kwa moja na tukio la mtaani.

Acha umbea Zoba
 
Anajua yeye hafahamiki kama Slaa, Slaa mtu wa watu na X-factor yake. Wengine Chadema hawaingii ndani. Anajua hatachaguliwa kugombea uraisi akiwa Chadema ndo anatafuta vishawishi.

Duh huyu kachoka kweli kigeugeu hatakiwi kwenye chama chochote akiwa ni mwoga na kutishia. Aende zake

Nenda kule MMU mkajadili namna ya kufumaniana na kutoka nje ya ndoa. Hapa huambui kitu. Uliyoandika na yaliyomaanishwa ni vitu viwili tofauti.
 
Mbowe hebu hacha kauli za kifffallla na kijuha, hata kama CDM si baba yako sasa unamwambia nani?
Hebu nyie viongozi acheni maupumbavu hayo ya kauli tata kama lile lizito kabwe.

Bora hata Rais wangu Slaa.
 
Nenda kule MMU mkajadili namna ya kufumaniana na kutoka nje ya ndoa. Hapa huambui kitu. Uliyoandika na yaliyomaanishwa ni vitu viwili tofauti.

MMU ndiko wanaongelea chadema? watu wengine mmmhhhh
 
Safi sana BADO MMOJA.W.slaa..hatuwezi ongozwa na mtu mwenye degree za gospel.

Hebu acha katoa mawazo ya kijinga utafikiri umepak..twa, hebu angalia ni kiac gan hawa wa2 wanavyojitahidi kupigania haki za wananchi. THNK MORE I BELIEVE U CAN GET SOMTNG WCH CAN HELP U 2 OPEN U'R BRAIN......!!
 
safi sana mbowe,ukifanya ikifanya hivyo utakuwa umekisafisha chama kwa kiasi kikubwa sana hasa kwa sakata la watanzania wengi wanaokipambanua chama kama kampuni na mali ya mtu.

Sasa itakuwa ni fahari ya chadema,ccm watakosa la kusema kuhusu ukabila na ufamilia wa chadema.

Nakuaminia sana kamanda anga mbowe,muachie zitto chama tuone kama ccm watamaliza dakika 90 kwenye uchaguzi wa mwaka 2015
umesha kitumia chama kwa kiasi kikubwa,sasa inakutaka uanze mwendo wa polepole kwenye siasa
zitto damu yake ndio kwanza inachemka,mnyika ndio kwanza anahamu ya kukimbiza kijiti
 
kwenda wapi?
wanamsubiri labda ADC wanafikiri huyu naye anatarget kugawana keki kama kawaida yao ilivyo hawa ndio wale naosikia fisi anafukuzia mkono wa mtu akiwa njiani anatembea
 
Kazi kweli kweli mwanaume akiwa m'mbea. Sasa Slaa na Josefina wamefanyaje?

Tafakari Zoba, acha kukurupuka. Mbowe amesema ikiwa CDM itakengeuka na kuwageuka wananchi yeye hatokengeuka nayo bali ataiacha. Kukurupuka kwako ni sawa na mwanamke wa kiswahili aonapo maneno kwenye kanga ya jirani yake, basi anayahusisha moja kwa moja na tukio la mtaani.

Acha umbea Zoba

Nikurupuke nini? wakati Slaa ndio katibu Mkuu na inabidi ashughulikie chama, yeye yuko bize kujenga nyumba ya Josefina kule Kawe, hujui? N yupo bize kumpeleka Josefina Mshumbusi uchina akanunuwe fanicha za nyumbani kwake. Wapi wametowa hizo fedha?

Na fedha za fidia ya ugoni, umezihesabu?

Fikiri, halafu msikilize Mbowe. Kama unabisha, wote wamo humu, waje kupinga hili.
 
Back
Top Bottom