Mbowe: Nipo tayari kuondoka CHADEMA...

Mbowe: Nipo tayari kuondoka CHADEMA...

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema nipo tayari kuondoka CHADEMA ikiwa wanainchi hawatapata haki zao.

Source: Gazeti la Majira.

Habari haijakamilika.Majira inajaribu kutoka
 
Kauli tata

Mazingira yanamlazimisha kufanya hivyo, Elimu ya kidato!! Ndiyo maana kila wakati ni yeye pekee anayeona wananchi hawapati haki. "IRON BOY". Aondoke awaachie vijana wasomi waendeleze chama na kushiriki katika kuwaletea waanchi maendeleo.
 
Bado hujaelewa ndiyo maana umeleta mstali mmoja kati ya mistali 20........Hawa ndiyo watz ukiona wengine fotokopi
 
Hii ni kauli ya mtu aliyekata tamaa na si busara. Kwani kutoka CDM ndilo jibu la kupata haki kwa watanzania? Siamini kama amesema haya na kama ameyasema nadhani alimaanisha kitu kingine. Anapaswa kufafanua zaidi kabla hajaharibu mambo.
 
Habari haijakamilika.Majira inajaribu kutoka
Hujaelewa nini mkuu, Huyu Mbowe hawezi tena kuendana na siasa za sasa ambazo siyo zinahitaji tu propaganda bali na elimu ya kupambanua mambo na kuweka mikakati ya maendeleo. Form four? halafu CDM nao wanajisifu kuwa wana mwenyekiti. Hivi wewe haujashtukia kwa nini haujawahi kumsikia MBOWE popote pale angalau akitoa speech kama ile ya Mulugo?
 
Hii ni kauli ya mtu aliyekata tamaa na si busara. Kwani kutoka CDM ndilo jibu la kupata haki kwa watanzania? Siamini kama amesema haya na kama ameyasema nadhani alimaanisha kitu kingine. Anapaswa kufafanua zaidi kabla hajaharibu mambo.

Exactly, lakini ni vizuri sana watu kama hawa inapofikia wakajitambua kuwa hawa-fit hasa ukilinganisha na elimu na upeo walio nao, uzoefu mdogo wa masula ya siasa, uchumi na hata diplomasia. Let them seat aside. Hongera Mheshimiwa Mbowe waachie vijana.
 
Walio mtuma hawajammalizia hela.

Nini zaidi ya hapo, Mbowe kachoka, apishe vijana wasomi na wanaoweza endana na ulimwengu wa sasa. Lazima atakuwa anajutia sana kuendekeza biashara badala ya shule, sasa yanamtokea puani na kusingizia kuwa wananchi hawapati haki, kwani haki ya wananchi inapatikana kwa yeye kuwepo CDM?
 
Hii kauli haina tofauti na ile ya Nyerere "CCM siyo mama yangu"...
Na yuko sahihi, amedhihirisha ukomavu wa kiakili.
Ukisema bila Chama nitakufa, basi akili yako haiko sawa.
Viva Mr. Chairman
 
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema amesema yupo teari kuondoka ochadema ikiwa ataona mambo ndani ya chama chake yanaenda ndivo sivo.
Chanzo gezeti la majira

Something dirty.
Cuf ngangari at fifteith minute Salmar at fifty second minute: The same flow, the same tone....the same proper-gender.
 
Wewe mleta taarifa hivi umekatika kichwaa au?mbona husemi aliongelea hayo akiwa wapi?na alikua anazungumzia nini.unachukua robo mstar unatuwekea jaman hilijukwaa limevamiwa na wasio chamba kabisa msimfate fate kamanda wa anga mtemeni kabiisa.mnafikiri nikama ******?huyu ni freman yuko free haitaj kubanwa banwa mbavu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom