Mbowe: Nimeitwa kwa DCI Manumba

Mbowe: Nimeitwa kwa DCI Manumba

yanayoendelea yapo sawasawa sema tu IQ ze2 hazipo sawa, wanaotaka kuandamana iq zao zimechoka ndo maana wanajiita choka mbaya!
Nchi hii sio ya CCM peke yao kwamba wanaweza kuendesha watakavyo tupo na tupo macho tutakula sahani moja nao
 
Maandamano wanayaweza waarabu hakuna watu mafisi kama wadanganyika! Mbowe anajua akikamatwa ataachiwa wenzangu na mie sasa...
Sasa wewe Boko Haram halafu mwoga hahahaha.........?:cool2::cool2:
 
H a mkwaray kipumbavu kabisa Nye TISS mumeshindwa kuisimamia nchi katiba inasiginwa mbele za uso wenu mumenyamaza tuli hamuoni hatari mwananchi gani asieji tambua tumejitambuana tunaunga mkono kusimamishwa kwa uhuni unaofnyika Dodoma

acha kujitekenya aisee!
 
Nchi hii sio ya CCM peke yao kwamba wanaweza kuendesha watakavyo tupo na tupo macho tutakula sahani moja nao

karibuni, msosi ni wa moto mbaya, na ninyi hamna kipoozeo! Shaur yenu! Wewe jitekenye tu udhani watacheka wengine!
 
Serikali ya CCM ikisha sikia habari za maandamano tu wanaanza kuharisha sijui kwanini wanaogopa maandmano ya upinzani wakati wao Rais akihutubia wazee wa CCM tu kesho yake utasikia wanafanya maandamano ya kuunga mkono kauli ya mwenyekiti wao. Hata juzi Marekani kauawa kijana mmoja tu mweusi maandamano yalitawala nchi nzima, sembuse sisi huku tunaopinga ulaji wa Bunge batili la mafisadi na mafisi. Kumbukeni pia haki haiji kwa kuitegea kiganja cha mkono kwamba ndio ije lazima kuipigania. Hamjui kama kuna watu huwa wanakufa kwa kupambannia haki zao za msingi. Unaweza usinemeeke wewe kwa kupigana kwako lakini wakaja kuneemeka wanao na wajukuu.
 
Sidhani kama Mbowe anao mtaji wa kuyafanya maandamano kwa nguvu hata kama yatapigwa marufuku!!??? Kwa hivi sasa mtaji huu bado anao Profesa Lipumba.

Lipumba alilisibitisha hili mwaka 2001 pale alipoitisha maandamano nchi nzima ya kudai tume huru, uchaguzi wa ZNZ urudiwe na kuwepo na Katiba mpya.

Pamoja na yeye kuvunjwa mkono na kuwekwa ndani kabla ya maandamano lakini maandamano yalifanyika na mauaji yakutisha yakatokezea ZNZ kwa kuwa wafuasi wake wanajuwa WOGA NI ADUI WA HAKI

Sasa kwa kuwa wafuasi wengi Wa Chadema wako Tanganyika na inajulikana rasmi watanganyika ni WAOGA KAMA FISI basi asijipe ushupavu wa kushindana na polisi.

Kama watanganyika ni majasiri Kama walivyo wazanzibar basi siku nyingi CCM ingekuwa bye bye lakini wapi!! Ujasiri wao uko kwenye mitandao ya kijamii lakini vitendo sufuri.

Hii video inakuonyesha wazi kuwa wazanzibar ni majasiri wake kwa waume hivyo wanauwezo wa kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku hata Kama yatakuwa ya wiki Usiku na mchana.

Huu ni mfano Wa maandamano yaliyofanyika siku 3 Usiku na mchana ZNZ kupinga viongozi wa uamsho kutekwa.


tunataka nchi yetu zanzibar: tunataka nchi yetu zanzibar - YouTube
 
Kama JK kasema HATASAINI katiba mpya sasa hawa wezi Dodoma wanakula posho za kazi gani?

Nipo tayar kwa maandamano haya
 
kwa yanayoendelea na yanayopigiwa kelele hayatakiwi kuvimilika,yanatakiwa kupingwa kwa nguvu zote na wala sio vurugu km unavofikiri

Kupinga na kupigia kelele siyo lazima iwe kwa njia ya kuvuruga amani ya nchi kama mnavyotaka kufanya...!
 
Nimepigania demokrasia ya vyama vyingi kwa karibu miaka 22 sasa,ndoto yangu ni kuona nchi inayowajibika na siyo kama hii ambayo demokrasia inaminywa kwa njia zote.ccm ijue inakwenda ni juu ya vyombo vya haki kusimamia haki za wananchi na wapewe.tanzania tena siyo ya mwaka 47.
 
Wacheni uzuzu na kuchangiwa akili wanasiasa siku zote ni wauaji na nynyi mazuzu mnafata mkumbo mwenzu mboe anakula kuku na mkewe nyinyi keshakutieni vitanzi vya shingo mazuzu nendeni barabarni mkavunjwe migugu yy huyo marekani kwa familia yake wacheni kuwa watumwa wa akili kijambo unapoambiwa hasa na hawa wanasiasa tumia akili yako kwanza usiwe zuzu au ng'ombe unaburutwa tu unapoelekea hupajui
 
Maandamano wanayaweza waarabu hakuna watu mafisi kama wadanganyika! Mbowe anajua akikamatwa ataachiwa wenzangu na mie sasa...

HAPA MUNGU ANAJUA NANI NA NANI WANATAFUTA NYIMBO ZA R.I.P,

Namfahamu chagonja huwa ana msimamo wa kupindukia na hakika hawa wendawazimu wa UKAWA wanatutafutia balaa!
 
Hii ndio hatari ya akili ndogo kuongaza akili kubwa. Wakati mwengine najiuliza ivi kweli Slaa ni Dr.? au Lisu anaifahamu kweli sheria? Kwa nini wasimshauri kiongozi wao kimantiki! au ni kwa sababu haja soma. Huu ni ujinga wa kuihangamiza taifa. Police piga ikiwezekana vunja miguu wajinga wote watakaoshirikiana na mjinga Mbowe kwenye mahandamano.
 
Nimemsikia akiongea ITV na kusisitiza kuwa maandamano yako pale pale acha hata damu zimwagike japo CP Chagonja ametangaza kuwathibiti watakaofanya maandamano hayo.

Huyu Mbowe naona ana mihemko ya kuchaguliwa baada ya kubeba vibabu toka maeneo mbalimbali vimchukulie fomu.

Ni vema akakae chini atafakari nafasi aliyojitafutia ajue wapi aboreshe na siyo kutafutia waliomchagua matatizo.

Aache kulewa madaraka ya uenyekiti na kuropoka ovyo, hiyo raha aliyo nayo akaimalize kwanza ndipo aje aongee jambo la kitaifa yy kama kiongoz wa kambi ya upinzani. Akipata uraisi si atataka watu waandamane kwa kutembea kwa miguu hadi Uswisi!

Acha ukibaraka wa watawala,ujue kila mtanzania ana haki ya kupenda anachoridhika nacho.
 
Nimepigania demokrasia ya vyama vyingi kwa karibu miaka 22 sasa,ndoto yangu ni kuona nchi inayowajibika na siyo kama hii ambayo demokrasia inaminywa kwa njia zote.ccm ijue inakwenda ni juu ya vyombo vya haki kusimamia haki za wananchi na wapewe.tanzania tena siyo ya mwaka 47.

umenena ukweli mtupu,kwa jinsi mambo yanavyokwenda ndani ya chama tawala,ndio wanatoa mkono wa buriani
 
Nimemsikia akiongea ITV na kusisitiza kuwa maandamano yako pale pale acha hata damu zimwagike japo CP Chagonja ametangaza kuwathibiti watakaofanya maandamano hayo.

Huyu Mbowe naona ana mihemko ya kuchaguliwa baada ya kubeba vibabu toka maeneo mbalimbali vimchukulie fomu.

Ni vema akakae chini atafakari nafasi aliyojitafutia ajue wapi aboreshe na siyo kutafutia waliomchagua matatizo.

Aache kulewa madaraka ya uenyekiti na kuropoka ovyo, hiyo raha aliyo nayo akaimalize kwanza ndipo aje aongee jambo la kitaifa yy kama kiongoz wa kambi ya upinzani. Akipata uraisi si atataka watu waandamane kwa kutembea kwa miguu hadi Uswisi!

Mkuu ni haki kwa raia yoyote yule kuandamana kwa kile anachokipinga ndio demokarasia hiyo. Nyinyi chama Cha Majambazi mtalielewa hili lini? Tanzania siyo ya kwenu pekee, mnaoana shida gani watu wakiandamana? Kama hamtaki wananchi waandamane msichukue kodi.

Hii ndio hatari ya akili ndogo kuongaza akili kubwa. Wakati mwengine najiuliza ivi kweli Slaa ni Dr.? au Lisu anaifahamu kweli sheria? Kwa nini wasimshauri kiongozi wao kimantiki! au ni kwa sababu haja soma. Huu ni ujinga wa kuihangamiza taifa. Police piga ikiwezekana vunja miguu wajinga wote watakaoshirikiana na mjinga Mbowe kwenye mahandamano.

Mapovu yote ya nini? Wacheni wananchi waandamane mnaogopa nini? Hiyo ni haki ya kikatiba.
 
Back
Top Bottom