baharia Ar
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 837
- 316
likianza libeneke hakuna wakuachwa mjombaa uwage na akili et watuache sisi.kwa taarifa tu polis wako elfu arobain nchi nzima na sisi tuko ml45 takwim ni askari mmoja raia elfu moja miasita so wapi na wapi na maandamano ni haki ya raia yeyote anaejitambua dunian kuzuia maandamano nikuyachochea.hakuna nchi africa iliyokua na amani kama averycost lakini rais wao alipigwa vibao kama mtoto mdogo hivi huzi juzi tu.na watnzania tunazijua mbivu ok mh kamanda wa anga songa mbele tuko nyumayako kifo sio kitendo cha aibu