chubio
Senior Member
- Jun 21, 2012
- 106
- 16
hivi kwa siasa za tz na vyombo vya dola km ndo hvi tunauwezo wa kubeba mizoga ya nguruwe km wenzetu kenya na kuenda kufanya chchte kwenye jengo la bunge na vyombo vya dola vikavumilia km wenzetu na siasa zao zoluzokomaaa???vyombo vya dola vipo kwa ajili ya wananchi na si kuwatisha wananchi,viogope kutumiwa'