Mbowe ni wa kumuonea huruma tu!

Mbowe ni wa kumuonea huruma tu!

Huo ni uchambuzi finyu mno na wa upendeleo (biased).

Chambua hivi:-

(1) Kwanini waandamane?!
Waliandamana baada ya kutokusikilizwa kwa haki zao wakizozadai katika ule uchaguzi wa kinondoni/ kutokusikilizwa na mkurugenzi wa uchaguzi na waliandamana kwa kufuata haki ya kikatiba kudai madai yao yasikilizwe na watekelezewe na hii ni baada ya njia za kawaida kushindikana.
(2) Kuzuiwa kwa maandamano kwa mtutu wa bunduki "kuua" watu wasiokuwa na silaha walioandamana kisheria.
(3) Polisi wakafyatua risasi kuua watu walioandamana kikatiba na risasi ikampiga raia ambaye hakuwemo katika maandamano.


Ukianzia na hayo maelezo toka mwanzo, Sasa sema kwa HAKI ni nani alaumiwe??.

Maandamano ya raia wasiokuwa na silaha hayawezi kuzimwa kwa risasi za motto. Kuna siku wahusika watajibu hayo mashtaka; yametokea Afrika Kusini kwa askari wa jeshi la Makaburu. Hapa kwetu itakuwa ndiyo njia ya kupatanisha taifà; kuwafungulia mashtaka wale wote waliokiuka misingi ya haki na kutumia vibaya madaraka. Wakati maagizo kutoka juu hayatakuwepo.
 
Hivi hizo sheria ni kweli mbowe tu ndo anavunja? Mbona Tumeona watawala wanavyovunja katiba waliyoapa kuilinda ni sheria gani wanachukuluwa? Kinacho isumbua Tanzania siyo akina Mbowe kuvunja sheria,Bali watawala kuwa kuwa na siasa za utoto wa kiutuuzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi isiyo na wananchi wenye uchungu wa nchi ni haina tofauti na kupombeka kwa pesa za kamali,upinzani wakauke tu wasiwe na shobo watafune pesa hizo,watz ajanyooka hawana uchungu na nchi mpka waumie ndipo wapate angalau maumivu,wapinzani waachane na kukosoa chama tawala wakiunge mkono watafune wote pesa watuache wananchi na ubize wetu nawaapia tutanyooka taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapofurahia msiba wa jirani kwa sababu bado unaishi, usidhani ndio mwisho wa mauti kufanya kazi yake.

Nakuomba unaongelea Jambo Kama Hilo la Mwalimu kunyongwa au mwanafunzi kuuwawa uwe na kiasi kwani hujui njia yako mbele ipoje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi isiyo na wananchi wenye uchungu wa nchi ni haina tofauti na kupombeka kwa pesa za kamali,upinzani wakauke tu wasiwe na shobo watafune pesa hizo,watz ajanyooka hawana uchungu na nchi mpka waumie ndipo wapate angalau maumivu,wapinzani waachane na kukosoa chama tawala wakiunge mkono watafune wote pesa watuache wananchi na ubize wetu nawaapia tutanyooka taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa uchungu wa nini wakati mambo yanawaendea bye
 
Nimecheka sana hiyo picha ya hapo chini,lakini kupanga ni kuchagua,unapoamua kuacha biashara na kuingia kwenye siasa ujiandae kwa lolote maana hapa unakuwa unapigania maslahi ya wananchi na si mali zako...
 
Chanzo ni maandamano yasiyofuata taratibu, yale yale ambayo kwa miaka ya nyuma ilikuwa poa tu!
Safari hii kafa mmoja na wamekomaliwa hatari
Kuna sheria inayomtaka police kupiga risasi ikiwa watu wamefanya maandamano ya amani?

Vipi serikali ingetoa hat za viapo kwa wahusika WA upinzani hayo unayoyaita maandamano yangelifanyika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumuweka tu Mbowe ndani mmeitangazia dunia kuwa Tanzania ni ya ki DICTATOR !! Vipi Maghufuli ndiye angelikuwa Maduro , nadhani angeagiza vyombo vya Dola na vya maamuzi kumuua kabisa H. Guido .

Mtu aliyeruka dhamana hawezi kurudi mahakamani mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ukitaka aonewe huruma wakati kavunja sheria...acha ujinga....sheria ni msumeno..hakuna aliye juu ya sheria
 
Nimecheka sana hiyo picha ya hapo chini,lakini kupanga ni kuchagua,unapoamua kuacha biashara na kuingia kwenye siasa ujiandae kwa lolote maana hapa unakuwa unapigania maslahi ya wananchi na si mali zako...
We unavyomuona Mbowe anapigania maslahi ys wananchi au maslahi yake mwenyewe...? Hahahahha....umevurugwa..ukitaka kumjua huyo jamaa muulize Chacha wangwe Mkumbo Zitto Mwigamba Said Arfi na hawa kina Waitara Mollel na wengineo ambao wamemkimbia
 
Sheria zipo kwa Mbowe tu?,suala la dhamana lilipaswa limalizwe na kesi kuendelea.

Hakika nakuambia huyu anayechezea kodi za wananchi ndiyo mvunja sheria Mkubwa.

Hafuati kanuni na taratibu za sheria ,je ni nani wa kumkemea..? Bunge lililojaa wagonga meza wa ndiyo limekosa meno.
Labda nikuulize..taaluma yako ni nini..umesomea sheria au ndio nyie wa division five unajifanya unajua kila kitu..
 
Kuna sheria inayomtaka police kupiga risasi ikiwa watu wamefanya maandamano ya amani?

Vipi serikali ingetoa hat za viapo kwa wahusika WA upinzani hayo unayoyaita maandamano yangelifanyika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria zote zilikiukwa kama unavyosema, na walikuwa na haki ya kuandamana.
Je taratibu za maandamano zilifuatwa?
 
Maandamano ya raia wasiokuwa na silaha hayawezi kuzimwa kwa risasi za motto. Kuna siku wahusika watajibu hayo mashtaka; yametokea Afrika Kusini kwa askari wa jeshi la Makaburu. Hapa kwetu itakuwa ndiyo njia ya kupatanisha taifà; kuwafungulia mashtaka wale wote waliokiuka misingi ya haki na kutumia vibaya madaraka. Wakati maagizo kutoka juu hayatakuwepo.



Naam, tunakumbuka "the shapeville killing" ambapo yule kiongozi wa askari wa makaburu aliwaamrisha askari wake kuua waandamanaji wazalendo waliopinga ukandamizaji wa serikali haramu ya makaburu kwa amri hii:-

"Shoot those dogs". Yaani piga risasi hao mbwa. na kweli walifyautua risasi na kuua mamia ya watu wasiokuwa na hatia.
 
Sheria zote zilikiukwa kama unavyosema, na walikuwa na haki ya kuandamana.
Je taratibu za maandamano zilifuatwa?

Umewahi kuona kibali cha maandamano ya kupinga dhuluma ya serikali? Acha utoto.
 
Back
Top Bottom