Metsada
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,456
- 865
Ni Asubuhi njema kabisa huku mji wa Dodoma ukiwa na shamrashamra kadhaa za Kikao cha Baraza kuu la Chadema kitakachoongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Tayari wajumbe kadhaa wameshawasili wakiwemo mawaziri wakuu wastaafu Edward Lowassa na Fredrick Sumaye.
Kikosi kamili cha habari Chadema kitawaletea live coverage kuanzia sasa.
Karibuni
UZANDIKI TU HAKUNA JIPYA: WANAHUTUBIWA NA ZERO YA FORM 6